ama kweli ukitaka ujue kutetea jimbo siyo lelemama na siyo kazi ndogo muulize mzee wasira; haikuwa rahisi kutokumuona wasra kwenye kambeni za kumnadi pombe.
wasra hiyo ndiyo CDM ulisome itakufa baada ya uchaguzi wa 2010 sasa badala yake unakufa wewe na ccm yako
Nae alikua anautaka uwaziri!!!
Ama kweli ukitaka ujue kutetea jimbo siyo lelemama na siyo kazi ndogo muulize mzee Wasira; haikuwa rahisi kutokumuona wasra kwenye kampeni za kumnadi Pombe.
Wasra hiyo ndiyo CDM ulisome itakufa baada ya uchaguzi wa 2010 sasa badala yake unakufa wewe na CCM yako
alitaka urais c uwaziri mkuu... unaambiwa huyu mzee hakuna cheo ndani ya serikali hajapitia... ameshindwa urais tu....unaambiwa toka mwl mpaka jk yumo
Mzee hauwezi mziki wa vijana
Bulaya anangoja kuapishwa tu anapiga mafuriko balaa yan jimbo lile Bulaya kalibeba kiulaini
Ama kweli ukitaka ujue kutetea jimbo siyo lelemama na siyo kazi ndogo muulize mzee Wasira; haikuwa rahisi kutokumuona wasra kwenye kampeni za kumnadi Pombe.
Wasra hiyo ndiyo CDM ulisome itakufa baada ya uchaguzi wa 2010 sasa badala yake unakufa wewe na CCM yako
Nae alikua anautaka uwaziri!!!
Sio uwaziri alichukua form kabisa ya urais
Nae alikua anautaka uwaziri!!!
Ama kweli ukitaka ujue kutetea jimbo siyo lelemama na siyo kazi ndogo muulize mzee Wasira; haikuwa rahisi kutokumuona wasra kwenye kampeni za kumnadi Pombe.
Wasra hiyo ndiyo CDM ulisome itakufa baada ya uchaguzi wa 2010 sasa badala yake unakufa wewe na CCM yako
wasira ni bora angekaa pembeni apumzike. wana bunda wanamtaka bulaya aingie bungeni...