Mzee hebu tupia picha la hilo lishangazi kwanza, ili nijue natoa ushauri wa aina gani
Ukipata suplimentary mawazo yote ya mabinti sio huyo jirani yako tu bali hata huyo wa mzumbe automatically yatakutoka wala usiwe na haraka hivyo!!
Mwandiko mchafu hausomeki rudi standard 1
kama mwalimu wako ndiye aliyekufundisha kuandika hivyo wote ni mazuzu tena baba ako kala hasara
si uhadithie tu bila ya kueleza elimu yako
hongera mwanachuo usie kua na akili UMEPATA HIV
Kama ngoma/mimba kwako siyo tatizo endelea kutafuna mzigo kijana,nakushauri hamia kwake kabisaaa,Kula ujana kijanaaaa...
Unajua we ni mpuuzi sana yani nimepoteza muda mrefu kukasoma haka ka sredi huku kananinogea, kumbe unatuambia mambo ya zinaa
Mzee hebu tupia picha la hilo lishangazi kwanza, ili nijue natoa ushauri wa aina gani
atajulikan kuz nilipo kun wa jm weng xn,bt co jimam n mdada mflan hv amenona hataree jo
titi limesimam km yuko fom3, na ana mzgo amazing
Nadhani sasa kuna haja ya vyuo kuanzisha "holiday's activities". Unakwenda likizo lakini unakua na kimodule cha hukohuko home, ukirudi unasubmit kazi yake, at least hawa vijana wawe busy! La sivyo tutakuwa tunatengeneza nguvu kazi "mfu". Lile kundi tegemezi linakua kwa kasi ya ajabu; tuna wazee, ninyi vijana mnangonoka hovyo mnatuongezea watoto na ngono zembe zenu zinawaua. Yaani kila activity yenu inalenga kuliongezea Taifa "age dependency ratio"
najuta kufungua thread ya kijinga kama hii. nimepoteza muda wangu bure.
huyu dogo akapime ngoma
Ukipata suplimentary mawazo yote ya mabinti sio huyo jirani yako tu bali hata huyo wa mzumbe automatically yatakutoka wala usiwe na haraka hivyo!!