Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,872
Wakati nilipokuwa nausoma huu uzi mwili ulikuwa unanisisimka,siuji tutaishje katika ulimwengu huu wa usanii kila mahala? Imagine mtu alikubali mwenyewe kuolewa halafu anakucheat ndani ya ndoa?....duuuhhh