mkulungwa03
JF-Expert Member
- Apr 1, 2021
- 317
- 243
😢Happy Ole Sabaya Day..!!
Nimemfumania mpenzi wangu halafu SINGO MAZA.
Leo napokea simu ya mpenzi Ila sauti ya kiume..!!
Kuongea anasema ""niachane na mpenzi wake"".
Nikamuuliza "mmeanza lini huo upenzi?"
Nikajibiwa "ni miezi mi4 sasa"
Ila Mimi nimeanza nae tokea April/2019, nae akashangaa..!!!
Dah...
Mwanamke mwenyewe ni Singo maza.
Nilijitoa kwake Ila kumbe ni mgawa mbunye.
Haya bana mimi NIMEMWACHIA tu aendelee.
Halafu mtu anasema eti ""Singo maza wanajielewa..!!""
Tukiwa hit and run tunasemwa.
Tukitulia na kuwapenda WANAVIMBA KICHWA..!!
Bora nifate ushauri wa joka jeusi tuu...
Ngoja nitafute BIKRA NIOE.
#YNWA