Sikukuu ya wachawi, Waganga na washirikina Bariadi (Mbina)

Acha uongo!
Umeandika pumba.

Mpanda na Kaliua ni wilaya mbili tofauti zinajitegemea.

Ni sawa na mtu aseme "niliikuta Kinondoni Mkwajuni wilaya ya Tabata"
Aibu naona Mimi
Hivi hii Tanzania unaijua kweli?
Umetembea? au umezaliwa kijinini kwenu, umeisoma hapo hapo na unatarajia ufe na uzikwe hapo hapo!

Mpanda Mlowoka ni Kijiji kilichopo karibia na Msitu wa hifadhi wa Usawima uliopo wilaya ya kaliua.

Ukiwa kwenye hicho Kijiji mto Maragasi unauona kwa kupanda mlima unaitwa Mawasiliano na ili upate Mawasiliano ya simu lazima upande huo mlima.

Idadi kubwa ya wakazi wake ni wafugaji, wakulima wa bange na wahalifu wa kutumia siraha, majangili na kila mtu wa hovyo.

Jinsi ya kufika huko unapitia njia kubwa ya gari ya kwenda Ulyankulu ambayo zamani ilikuwa Kambi ya wakimbizi wa Kirundi.

Ukifika njia panda ya Kijiji Cha Miti mirefu nenda Miti mirefu Center nyoosha na hiyo njia kwenda Mpanda Mlowoka.

Mpanda Mlowoka ni Kijiji na Mpanda ni makao makuu ya Mkoa wa Katavi.

Jifunze kabla hujabisha mtandaoni.
 
Kuamini au kutoamini hakifanyi kitu kiwepo au kisiwepo?

Ila Nenda bariadi halafu kajifanye mjuaji
Hapo ndio ugumu unapokuja. Kwamba niende kuchokonoa. Okay one day maybe nitakutana nao kwenye mishe.
 
Msukuma na Uchawi ni kama chanda na Pete.

Leo tarehe 31/05/2022 mjini bariadi ni siku muhimu mno

Watoto wazuri wote kutoka Vijiji, miji na wilaya kama kama Maswa,Lamadi,Misungwi, Kwimba, Shinyanga, Kahama mpaka Sumbawanga ,Mpanda na Itilima.

Vijiji kama Lalago, Ngulyati, Laganga bilili, Nyangokolwa, Ikungulyabashashi, Guduwe ,Gambosi na Malampaka.
Mwamapalala, Dutwa na maeneo mbalimbali.

N.B kama makao makuu ya Uchawi ni Gambosi basi Mji mkuu wa Uchawi Tanzania ni Bariadi.

Wilaya yenye waganga wengi ni Itilima inakadiliwa kuwa Ina Waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Ila hii nchi, eti waganga ni wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi, sasa hao waganga siyo watu?
 
Msukuma na Uchawi ni kama chanda na Pete.

Leo tarehe 31/05/2022 mjini bariadi ni siku muhimu mno

Watoto wazuri wote kutoka Vijiji, miji na wilaya kama kama Maswa,Lamadi,Misungwi, Kwimba, Shinyanga, Kahama mpaka Sumbawanga ,Mpanda na Itilima.

Vijiji kama Lalago, Ngulyati, Laganga bilili, Nyangokolwa, Ikungulyabashashi, Guduwe ,Gambosi na Malampaka.
Mwamapalala, Dutwa na maeneo mbalimbali.

N.B kama makao makuu ya Uchawi ni Gambosi basi Mji mkuu wa Uchawi Tanzania ni Bariadi.

Wilaya yenye waganga wengi ni Itilima inakadiliwa kuwa Ina Waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Kaka sijui km uliamka
 
Msukuma na Uchawi ni kama chanda na Pete.

Leo tarehe 31/05/2022 mjini bariadi ni siku muhimu mno

Watoto wazuri wote kutoka Vijiji, miji na wilaya kama kama Maswa,Lamadi,Misungwi, Kwimba, Shinyanga, Kahama mpaka Sumbawanga ,Mpanda na Itilima.

Vijiji kama Lalago, Ngulyati, Laganga bilili, Nyangokolwa, Ikungulyabashashi, Guduwe ,Gambosi na Malampaka.
Mwamapalala, Dutwa na maeneo mbalimbali.

N.B kama makao makuu ya Uchawi ni Gambosi basi Mji mkuu wa Uchawi Tanzania ni Bariadi.

Wilaya yenye waganga wengi ni Itilima inakadiliwa kuwa Ina Waganga wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Kimsingi hizo siyo sikukuu za wachawi, isipokua unaweza kuona vile vikundi vya ngoma watu wamevaa nguo kama za waganga, maana kwa asili nguo ni zile shuka nyeusi na cheni za vile vi konokono vidogo vidogo, haijalishi kati kati ya watu hao akawepo huyo mganga au mchawi maana ni sehemu ya jamii, lakini ukweli zile hua ni ngoma za asili za kabila la kiSukuma ambazo mala nyingi huchezwa baada ya mavuno watu wakisha pumzika baada ya msimu wa kilimo na mavuno yao na si vinginevyo

Karibu, Sukuma land... Mwanza, Simiyu, Geita, Tabora na Shinyanga

Huku ndiko kuliko kabila kubwa na jamii ya watu kubwa kuliko eneo lolote lile hapa nchini na East Africa, hivyo basi utaona vitu vingi vya kusimulia kama hivi kwa sababu jamii hii ni kubwa sana na inatofautiana baadhi ya tabia japo jamii nzima ni Sukuma

Huku pia tuna ndugu zetu ktk jamii hii japo ni makabila tofauti kidogo, kama makabila ya Kerewe, Zinza, Kara, Jita, Kurya na wengineo ambao wanajumuisha pia kua sehemu yetu

Mwanza ndiyo Jiji linalobeba sehemu kubwa ya mahitaji ktk mikoa yote ya Kanda ya Ziwa Victoria, ndilo jiji linalo hudumia pakubwa jamii ya Lake Zone ikisaidiwa na Kampala Uganda ikihudumia kwa kiasi kidogo kule Kagera.

Karibuni sana Sato City
 
Back
Top Bottom