Sikukuu ya Leo imepooza sana kulikoni?

Sikukuu ya Leo imepooza sana kulikoni?

Ukiambiwa leo kuna sikukuu utakataa!!

Kumepooza kama futari ya magimbi ya juzi

Yaani hamna vibe wala nini

Hamna cha kuchoma nyama wala nini

Siku imekaakaa tu haieleweki
Vazi la Leo halijampendeza Mtu pale Msasani.
 
Vyuma vimekaza mkuu, Hali ya uchumi ni mbaya sana kwa wananchi
 
Back
Top Bottom