Sikujua kama wasemaji wa sasa wa CHADEMA ni Lowassa na Makongoro Mahanga

What has that got to do with you? That's no skin off your nose to smell. The best thing you can do is tell us how you squandered the condolences of the 33 school girls and boys of arusha school. Aliyewaambia maua worth 9 mln yalikuwa ni muhimu sana

Read the topic again you twat!
 
Lowasa anasema hii nchi inabidi itawaliwa na chama kongne inatkiwa tufanye mageuzi cyo kila soku CCM tu...swli langu ni kwamba alpokuwa ccm hakuyajua haya ndo anayajua leo au ndo unafiki wa kisiasaaa amekaa CCM zaid ya miaka 20 na kuitetea hyo ccm na alikuwa kiongoz mkubwa kweli hii nso Tanzagizaaa

Tatizo huyo Lowassa anajiona kama ana hati miliki na kiti cha urais wa hii nchi. Kwa zaidi ya miaka 20 anautafuta urais, keshatua mbinu lukuki, mara mtandao, mara harambee za kila kona, sijui marafiki, na sasa anakuja na 'demokrasia'. Kama kweli anaamini demokrasia ilikuwaje akawa mgombea pekee CHADEMA?
 
Tanzania hakuna upinzani.

Hao so called wapinzani ni CCM B.

Ni pande ya sarafu ile ile tu.
It's a pity kwamba with all the exposure and education, bado hamuelewi how politics evolve in a society.

Huko unapoishi sasahivi Chama cha kwanza cha siasa hakikuwa ni Democrat au Republican bali the Federalist in the 18th Century. Vilivyopo leo ni pande ya sarafu ile ile.

Nchini Uingereza (watawala wetu hawa), Chama cha kwanza cha siasa hakikuwa Labor au Conservatives bali the Whigs back during the 17th century. Vilivyopo leo ni pande ya sarafu ile ile.

Nchini kwako Tanganyika (ukipenda ita Tanzania bara) - assuming haujakana uraia, chama cha kwanza cha siasa hakikuwa CCM. Wakati wa harakati za uhuru kulikuwa na political movement ya TANU lakini pia factions kama za Zuberi Mtemvu (alikuwa na chama kilichokuja pigwa marufuku na Nyerere jina limenitoka), bila kusahau Chama kilichoundwa na Mkoloni ili kupambana na TANU kilichoitwa United Tanganyika Party (UTP). CCM iliyopo leo ni pande ya sarafu ile ile.

Our honorable Jesters, Demagogues and Ideologues in CCM, you can fool a few...
 
Lowassa ni Kiongozi Mkuu Chadema cheo ambacho hakipo Kikatiba ila kipo katika Katiba ya ACT Wazalendo. Hapa ndio unapata dhana kuu ya Ukawa ikiwa ni kuchanganya katiba za vyama.
 
Daaa siasa zimepata mkunaji sasa. Wasemaji wanaoonekana kwenye vyombo vya habari ni hao. Wanazungumza kwa niaba ya upinzani wote. Hivi najiuliza Tanzania tuna upinzani kweli au masihara . Halaf eti tuwasindikize waende ikulu hawa. Lol... kiukweli kabisa hata Mungu atatuadhibu vibaya sana. Haiwezekani hawa walioishi mpaka kuzeekea ndani ya cha ma tawala eti leo wanataka mabadiliko. Yapi hayo... wamepata akili mpya kutoka wapiii... wajameni tusije tukaacha mbachao kwa msala upitao...
Habari ya mujini kwa sasa ni rambirambi za Atown
 
kabombe! post: 21111242 said:
Chadema ni chama cha wahuni.Enzi za Slaa mtu kama Makongoro angepata wapi nafasi ya kuisemea chadema
Ni kweli kabisa ! Wapinzani wamepigwa upofu hatari. Gurudumu wameachia watuhumiwa wa ufisadi waliendeshe. .. wale ambao walikuwa wakiwasema kamwe hawawez kusafishika duniani hata mbinguni. Hahahahah
 
Tanzania hakuna upinzani.

Hao so called wapinzani ni CCM B.

Ni pande ya sarafu ile ile tu.
Ila kwa kweli wanaccm mko kama machangudoa vile. Maana machangudoa mwenzao akipata maisha mapya akaacha uchangudoa wanàmwona kama bado ni mwenzao na anigiza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom