Jplus Jr
Senior Member
- Dec 29, 2018
- 124
- 147
- Thread starter
- #81
Ahsante sana kaka. Na nawashukuru wote pia wanaonitia moyo napata nguvu kutokata tamaa. Pia nawashukuru wachache waliojitolea kwa chochote hata kidogo walichokuwa nacho kuni-support hivi sasa niko njiani kwenda kumzika mke wangu. Tuzidi kuombeana.Pole Sana ndugu yangu mungu akutie nguvu Katika kipindi kigumu unachopitia