Ze Blessed
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 123
- 13
Jamani kumbe kufanyika kwa mitihani ya kidato cha 6 mwaka 2013 mwezi wa 5, ni serious issue. Sijajua ni nini sababu hasa ya kufanya hivi? Kwa anaefahamu atufahamishe na je kuna umuhimu wowote? Source: mdogo wangu kutoka usagara tanga.