sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
Jioni hii live tbc waziri tibajuka anena kiprofesa.
Maneno ya nguvu kuwa
"hakuja nyumbani kutoka un ili aje kupambana na maskini bali kaja kupambana na umaskini"
huyo mama hana jipya migogoro ya aridhi imemshnda hizo siasa zake apeleke muleba kwao huko! Hajaanza leo kutudanganya.. Migogoro ikwiriri watu wamekufa na kupoteza mali zao.. Na arumeru bado tu