Sikubaliani na wazo la Freeman Mbowe la kufunga shule ya Ihungo

Nimemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiongea kupitia ITV kwenye Taarifa ya Habari ya Saa mbili usiku huu. Tatizo la Mbowe amejawa na jazba za kisiasa huku asichukue muda na kutafakari zaidi madhara ya hicho anachokifikiria. Kama kawaida yake alisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa badala ya kuangalia hali halisi ya wakati huu.

Tukio hili limetokea katika kipindi ambacho tumebakiwa na muda mfupi tu kabla ya wanafunzi wa Kidato cha Pili na cha Nne wafanye mitihani yao. Je Mbowe ametafakari madhara yanayoweza kutokea endapo wazo lake litafanyiwa kazi? Na kama shule itafungwa, je amependekeza nini hatua ya kuchukua kuwanusuru watahiniwa hao? Hii tabia ya wanasiasa kulalamika tu na kumlaumu mtu pindi majanga yanapojitokeza hakika ni kufilisika kisiasa

Na je vipi kuhusu wale wananchi waliovunjiwa nyumba zao? Tunapaswa kufikiri kabla ya kusema vinginevyo kujitafutia umaarufu wa kisiasa kwenye majanga hakika tunajidhalilisha
serikali imeshakubali wazo lake! Sema lingine
 
Huyu Lizaboni sijuh huwa ana akili gani. Vitu vingine mnaudhi kabisa. Hv hujui hata madhara ya kusomea katika madarasa yenye nyufa? Au kwa kuwa huko unalipwa buku 7? Au kisa wazo limetolewa na Mbowe. Vitu vingne havihitaji kuweka ukada mbele. Hv mmesoma shule gani nyie na mmefundshwa na walimu wap hawa?

Haya sasa shule imefungwa njoo na topic ya kuipongeza serikali maana ni kawaida yenu.
Tanzania haiwez kupata maendeleo kwa kuendekeza unafiki.
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiongea kupitia ITV kwenye Taarifa ya Habari ya Saa mbili usiku huu. Tatizo la Mbowe amejawa na jazba za kisiasa huku asichukue muda na kutafakari zaidi madhara ya hicho anachokifikiria. Kama kawaida yake alisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa badala ya kuangalia hali halisi ya wakati huu.

Tukio hili limetokea katika kipindi ambacho tumebakiwa na muda mfupi tu kabla ya wanafunzi wa Kidato cha Pili na cha Nne wafanye mitihani yao. Je Mbowe ametafakari madhara yanayoweza kutokea endapo wazo lake litafanyiwa kazi? Na kama shule itafungwa, je amependekeza nini hatua ya kuchukua kuwanusuru watahiniwa hao? Hii tabia ya wanasiasa kulalamika tu na kumlaumu mtu pindi majanga yanapojitokeza hakika ni kufilisika kisiasa

Na je vipi kuhusu wale wananchi waliovunjiwa nyumba zao? Tunapaswa kufikiri kabla ya kusema vinginevyo kujitafutia umaarufu wa kisiasa kwenye majanga hakika tunajidhalilisha


Lizaboni aibu yako hii, Ihungo imefungwa, kila mtu mwenye akili timamu aliliona hilo kuwanusuru vijana wetu isipokuwa wewe tu "domokaya"! Siku nyingine fungua akili yako kabla ya kufungua domo lako kuanza kumwaga hewa chafu! Shame on you, bs!
 
Huyu Lizaboni sijuh huwa ana akili gani. Vitu vingine mnaudhi kabisa. Hv hujui hata madhara ya kusomea katika madarasa yenye nyufa? Au kwa kuwa huko unalipwa buku 7? Au kisa wazo limetolewa na Mbowe. Vitu vingne havihitaji kuweka ukada mbele. Hv mmesoma shule gani nyie na mmefundshwa na walimu wap hawa?

Haya sasa shule imefungwa njoo na topic ya kuipongeza serikali maana ni kawaida yenu.
Tanzania haiwez kupata maendeleo kwa kuendekeza unafiki.


Lizaboni is a psychiatric case, kuzoea nguo za bure za kijani na njano na kofia kumemvuruga akili, kila wazo la mpinzani ni haramu, he cant think straight!
 
Lizaboni is a psychiatric case, kuzoea nguo za bure za kijani na njano na kofia kumemvuruga akili, kila wazo la mpinzani ni haramu, he cant think straight!
Yaani kuna watu wana akili za ovyo mpaka unajiulza huyu ni mtu ama ni mdudu gani.

Kati ya watu ninaowaona wa ovyo humu jukwaani ni Lizabobni na jinga lao.
Hata km ni njaa sio kwa kiwango hicho.

Tutasubir sana kupata nchi ya viwanda
 
Mbowe anasikitisha sana
Hivi wewe ni dada yake Lizibon au ni mke wake? Samahani lakini hii ni kutokana na kila ukilaza anaouonyesha Lizibon wewe unamsupport. Mbona hiyo shule tiyari nimeishafungwa kwa muda wa wiki mbili? Sasa nani hapo ameonekana kuwa na mihemko Kati ya Mbowe na Lizibon.
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiongea kupitia ITV kwenye Taarifa ya Habari ya Saa mbili usiku huu. Tatizo la Mbowe amejawa na jazba za kisiasa huku asichukue muda na kutafakari zaidi madhara ya hicho anachokifikiria. Kama kawaida yake alisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa badala ya kuangalia hali halisi ya wakati huu.

Tukio hili limetokea katika kipindi ambacho tumebakiwa na muda mfupi tu kabla ya wanafunzi wa Kidato cha Pili na cha Nne wafanye mitihani yao. Je Mbowe ametafakari madhara yanayoweza kutokea endapo wazo lake litafanyiwa kazi? Na kama shule itafungwa, je amependekeza nini hatua ya kuchukua kuwanusuru watahiniwa hao? Hii tabia ya wanasiasa kulalamika tu na kumlaumu mtu pindi majanga yanapojitokeza hakika ni kufilisika kisiasa

Na je vipi kuhusu wale wananchi waliovunjiwa nyumba zao? Tunapaswa kufikiri kabla ya kusema vinginevyo kujitafutia umaarufu wa kisiasa kwenye majanga hakika tunajidhalilisha
Wewe ni wa kupuuzwa.
 
Huyu Lizaboni sijuh huwa ana akili gani. Vitu vingine mnaudhi kabisa. Hv hujui hata madhara ya kusomea katika madarasa yenye nyufa? Au kwa kuwa huko unalipwa buku 7? Au kisa wazo limetolewa na Mbowe. Vitu vingne havihitaji kuweka ukada mbele. Hv mmesoma shule gani nyie na mmefundshwa na walimu wap hawa?

Haya sasa shule imefungwa njoo na topic ya kuipongeza serikali maana ni kawaida yenu.
Tanzania haiwez kupata maendeleo kwa kuendekeza unafiki.
'Alienda shule kusoma ujinga' by Faiza Foxy
 
Sishangai sana JPM kutokukuteua katika nafasi yoyote....umedhihirisha uwezo wako mdogo wa kufikiria, Jitafakari upya unatia aibu Lizaboni
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiongea kupitia ITV kwenye Taarifa ya Habari ya Saa mbili usiku huu. Tatizo la Mbowe amejawa na jazba za kisiasa huku asichukue muda na kutafakari zaidi madhara ya hicho anachokifikiria. Kama kawaida yake alisukumwa zaidi na utashi wa kisiasa badala ya kuangalia hali halisi ya wakati huu.

Tukio hili limetokea katika kipindi ambacho tumebakiwa na muda mfupi tu kabla ya wanafunzi wa Kidato cha Pili na cha Nne wafanye mitihani yao. Je Mbowe ametafakari madhara yanayoweza kutokea endapo wazo lake litafanyiwa kazi? Na kama shule itafungwa, je amependekeza nini hatua ya kuchukua kuwanusuru watahiniwa hao? Hii tabia ya wanasiasa kulalamika tu na kumlaumu mtu pindi majanga yanapojitokeza hakika ni kufilisika kisiasa

Na je vipi kuhusu wale wananchi waliovunjiwa nyumba zao? Tunapaswa kufikiri kabla ya kusema vinginevyo kujitafutia umaarufu wa kisiasa kwenye majanga hakika tunajidhalilisha

sasa je unakubaliana na serikali kuifunga hiyo shule?
 
Back
Top Bottom