Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,954 93,931 Oct 4, 2012 #1 Leo ni siku ya wanyama duniani, hapa nchini Tanzania maadhimisho yake yalianza jana hapo Taifa kwa MNYAMA kushikwa sharubu...almanusura achinjwe!
Leo ni siku ya wanyama duniani, hapa nchini Tanzania maadhimisho yake yalianza jana hapo Taifa kwa MNYAMA kushikwa sharubu...almanusura achinjwe!
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Oct 4, 2012 #2 So far tunaadhimishaje? Kwa kula minyama kibwena ? Au opposite yake?
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,954 93,931 Oct 4, 2012 Thread starter #3 Judgement said: So far tunaadhimishaje? Kwa kula minyama kibwena ? Au opposite yake? Click to expand... wanyama wengine woye ni opppsite...ila kama ni Simba, mtafune kila unapomuona
Judgement said: So far tunaadhimishaje? Kwa kula minyama kibwena ? Au opposite yake? Click to expand... wanyama wengine woye ni opppsite...ila kama ni Simba, mtafune kila unapomuona
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Oct 4, 2012 #4 watu8 said: wanyama wengine woye ni opppsite...ila kama ni Simba, mtafune kila unapomuona Click to expand... Mekupata! Basi mie ntaanza kumtafuna Simba yule ambae Bahanuz jana alianza kumtafuna!
watu8 said: wanyama wengine woye ni opppsite...ila kama ni Simba, mtafune kila unapomuona Click to expand... Mekupata! Basi mie ntaanza kumtafuna Simba yule ambae Bahanuz jana alianza kumtafuna!
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Oct 4, 2012 #5 Simba dume nyamaume, porini kama mfalme, anaogopeka anapopita zaidi ya vita,kamanda wa afrika............
Simba dume nyamaume, porini kama mfalme, anaogopeka anapopita zaidi ya vita,kamanda wa afrika............
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,136 13,258 Oct 4, 2012 #6 Kuleni nyama jamani si mnajua na sisi ni social animals? Basi kuleni nyama achaneni na 'MNYAMA'.
kapistrano JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,244 453 Oct 4, 2012 #7 watu8 said: Leo ni siku ya wanyama duniani, hapa nchini Tanzania maadhimisho yake yalianza jana hapo Taifa kwa MNYAMA kushikwa sharubu...almanusura achinjwe! Click to expand... well done kiongozi!
watu8 said: Leo ni siku ya wanyama duniani, hapa nchini Tanzania maadhimisho yake yalianza jana hapo Taifa kwa MNYAMA kushikwa sharubu...almanusura achinjwe! Click to expand... well done kiongozi!
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Oct 4, 2012 #8 Jamani yule lensmeni wa jana mlimwonaje?
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Oct 4, 2012 #9 mmmmhhh ndomana nilikula mboga za majani na miharage peke yake..
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,954 93,931 Oct 4, 2012 Thread starter #10 Bishanga said: Jamani yule lensmeni wa jana mlimwonaje? Click to expand... Yule jamaa dakika zote 90 alikua kanyoosha kibendera...halafu alikua anatumbua kama kamezeshwa Sifongo
Bishanga said: Jamani yule lensmeni wa jana mlimwonaje? Click to expand... Yule jamaa dakika zote 90 alikua kanyoosha kibendera...halafu alikua anatumbua kama kamezeshwa Sifongo
Mentor JF-Expert Member Oct 14, 2008 20,328 23,879 Oct 4, 2012 #11 Bishanga said: Jamani yule lensmeni wa jana mlimwonaje? Click to expand... Bishanga yule nadhani wenye mihela ya kuhonga kama yako walimtoa aisee si ivivi.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Bishanga said: Jamani yule lensmeni wa jana mlimwonaje? Click to expand... Bishanga yule nadhani wenye mihela ya kuhonga kama yako walimtoa aisee si ivivi..
Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,102 53,357 Oct 4, 2012 #12 acheni kutesa wanyama, na tabia ya kugonga mbwa na paka barabarani sio poa.