Wadau, ni siku ya Tatu sasa hatuna Umeme Gomz, nasikia mpaka chanika kote huko hakuna Umeme, Jambo la Ajabu, hakuna anaejua sababu hasa za kwann hakuna Umeme, kwann Tanesco wamekata Umeme? Kila napouliza, napewa sababu tafauti, yaan kila mtu ana jibu lake, nashindwa kujua lipi jibu sahihi?
Naomba wana jf mnisaidie, kama yupo anaejua sababu za kukatiwa Umeme siku zote hizi ni nini? Na kwann hawakututaarifu Mapema, tunyooshe nguo za wiki nzima, Tujaze maji ndani na kadhalika?
Kwanini tumekatIwa Umeme, na Kwann hatukuambiwa in advance kuwa hatutakuwa na Umeme kwa kipindi cha zaidi yq siku Tatu? Yaani ni as If huu umeme tunapewa bure?
Wadau mnalizungumziaje hili?
Naomba wana jf mnisaidie, kama yupo anaejua sababu za kukatiwa Umeme siku zote hizi ni nini? Na kwann hawakututaarifu Mapema, tunyooshe nguo za wiki nzima, Tujaze maji ndani na kadhalika?
Kwanini tumekatIwa Umeme, na Kwann hatukuambiwa in advance kuwa hatutakuwa na Umeme kwa kipindi cha zaidi yq siku Tatu? Yaani ni as If huu umeme tunapewa bure?
Wadau mnalizungumziaje hili?