T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,174
- 28,322
Hahahaha.....eti wenye chapati
Hahahaha.....eti wenye chapati
Sawa mkuuMtoa mada usirudie tena kumuudhi mkeo kwa maneno ya kumvunja moyo ni bora ukae kimya na uishinde hasira yako. Wanawake wanapenda kusifiwa na ndio njia kuu ya kumu-win mwanamke yoyote duniani hata awe Malkia. Kwa sisi wazoefu wa fani tunaamini unaweza kung'oa demu yoyote kwa kumsifia sana.
Unampo mkashifu mkeo unamvunja moyo sana maana kwake yeye anachukulia kuwa humpendi.
Usirudie tena kufanya hilo kosa na pia uombe msamaha kwa kuwa ulimkosea na mwambie ukweli kuwa alipendeza ila ulisema vile kwa kuwa ulikasirika ulipochukua muda mrefu ila kiukweli mwambie alipendeza. Ukifanya hivyo atafurahi na pia hatorudia tena kosa la kutojiandaa mapema mkiwa na mtoko.
Pia elewa kuwa mwanamke anaposema nitatoka saluni ndani ya dakika kumi ni sawa na mwanaume aliye baa akamwambia mkewe nitarudi baada ya dk 10 (wote hawa uwa hawasemi kweli.
Mpende mkeo na akikisha amani ya nyumbani inakuwepo kwa gharama yoyote hata kwa kujishusha kama ulikosea kama ulivyofanya wewe.
Habari za leo watanganyika wenzangu?
Jumamosi iliyopita tulikuwa na mwaliko wa harusi,sasa basi my wife akaniambia nikimaliza mizunguko yangu nimpitie ofisini kwake ili twende wote home tukajiandae, well me kwenye saa 10 hivi jioni nikawa nimemaliza mizunguko yangu, nikasema ngoja nimpitie wife kama tulivyokubaliana nilivyofika akaniambia nimdrop kwanza saloon akafanye make up akaniambia hapo saloon angetumia dakika 10 tu, so me nikampeleka hapo saloon then nikawa niko kwenye gari namsubiri,matokeo yake akatumia zaidi ya lisaa limoja humo ndani, ofcoz me niliudhika sana coz alijua leo tutatoka kwa nini hayo mambo ya saloon hakuyafanya mapema?
Alivyomaliza mambo yake akaja kwenye gari me nikaamua kumuudhi makusudi tu, nikamwambia hiyo make up aliyofanya haijampendeza kabisa, bora awe anabaki na sura yake ya kawaida tu.alikasirika sana baada ya kumuambia hivyo,akaniuliza kama mimi sitomsifia nani mwingine wa kumsifia aliongea mengi sana me nikampuuza tu so tangu Jumamosi Hadi leo kaninunia,hanisemeshi chochote.
Kuna haja ya kumuomba msamaha au nami niendelee kukaza buti w
Mkuu umefanya ujinga mkubwa sana aiseee.Habari za leo watanganyika wenzangu?
Jumamosi iliyopita tulikuwa na mwaliko wa harusi,sasa basi my wife akaniambia nikimaliza mizunguko yangu nimpitie ofisini kwake ili twende wote home tukajiandae, well me kwenye saa 10 hivi jioni nikawa nimemaliza mizunguko yangu, nikasema ngoja nimpitie wife kama tulivyokubaliana nilivyofika akaniambia nimdrop kwanza saloon akafanye make up akaniambia hapo saloon angetumia dakika 10 tu, so me nikampeleka hapo saloon then nikawa niko kwenye gari namsubiri,matokeo yake akatumia zaidi ya lisaa limoja humo ndani, ofcoz me niliudhika sana coz alijua leo tutatoka kwa nini hayo mambo ya saloon hakuyafanya mapema?
Alivyomaliza mambo yake akaja kwenye gari me nikaamua kumuudhi makusudi tu, nikamwambia hiyo make up aliyofanya haijampendeza kabisa, bora awe anabaki na sura yake ya kawaida tu.alikasirika sana baada ya kumuambia hivyo,akaniuliza kama mimi sitomsifia nani mwingine wa kumsifia aliongea mengi sana me nikampuuza tu so tangu Jumamosi Hadi leo kaninunia,hanisemeshi chochote.
Kuna haja ya kumuomba msamaha au nami niendelee kukaza buti wakuu?
Unipe na mimi nimsaidie ila anza wewe kwanzaNipe namba ya wife nikusaidie
Unipe na mimi nimsaidie ila anza wewe kwanza
Sawa mkuu..Wanawake wapo hivyo, kuna siku tulihudhuria sendoff moja hivi ilikuwa ni mtu wa karibu na wife so ilibidi aende mapema mimi nitamkuta huko, so nilichelewa mahali kidogo nikafika kwenye saa mbili hivi alipofika kunipokea lah haula hizo makeup na wigi kweli hakuoendeza.
Nikijua nikimwambia atajisikia vibaya na atamind zaidi ya wiki basi nikakaa kimya ila sikuwa na amani sana.
Baada ya wiki tukiwa tumetoka nilimwambia wife unaonaje uwe inapunguza makeup, na vipi kama utakuwa inasuka au uwe na nywele fupi? Nilimwambia siku ile ya sendoff ulizidisha makeup pia lile wigi lilikuwa kubwa sana.
Alicho jibu, nikafirahi, alisema mpenzi mbona hukuniambia siku ile ile, nikamwambia isingekuwa busara.
Wanawake wanahitaji kukaa nao kwa akili sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mtoa mada usirudie tena kumuudhi mkeo kwa maneno ya kumvunja moyo ni bora ukae kimya na uishinde hasira yako. Wanawake wanapenda kusifiwa na ndio njia kuu ya kumu-win mwanamke yoyote duniani hata awe Malkia. Kwa sisi wazoefu wa fani tunaamini unaweza kung'oa demu yoyote kwa kumsifia sana.
Unampo mkashifu mkeo unamvunja moyo sana maana kwake yeye anachukulia kuwa humpendi.
Usirudie tena kufanya hilo kosa na pia uombe msamaha kwa kuwa ulimkosea na mwambie ukweli kuwa alipendeza ila ulisema vile kwa kuwa ulikasirika ulipochukua muda mrefu ila kiukweli mwambie alipendeza. Ukifanya hivyo atafurahi na pia hatorudia tena kosa la kutojiandaa mapema mkiwa na mtoko.
Pia elewa kuwa mwanamke anaposema nitatoka saluni ndani ya dakika kumi ni sawa na mwanaume aliye baa akamwambia mkewe nitarudi baada ya dk 10 (wote hawa uwa hawasemi kweli.
Mpende mkeo na akikisha amani ya nyumbani inakuwepo kwa gharama yoyote hata kwa kujishusha kama ulikosea kama ulivyofanya wewe.
Kaza buti tu mkuu, nyege zikizidi utaomba mwenyewe tu msamaha. Wala halina mda mrefu utatuzi utaupata mwenyewe bila shuruti🤣🤣🤣Habari za leo watanganyika wenzangu?
Jumamosi iliyopita tulikuwa na mwaliko wa harusi,sasa basi my wife akaniambia nikimaliza mizunguko yangu nimpitie ofisini kwake ili twende wote home tukajiandae, well me kwenye saa 10 hivi jioni nikawa nimemaliza mizunguko yangu, nikasema ngoja nimpitie wife kama tulivyokubaliana nilivyofika akaniambia nimdrop kwanza saloon akafanye make up akaniambia hapo saloon angetumia dakika 10 tu, so me nikampeleka hapo saloon then nikawa niko kwenye gari namsubiri,matokeo yake akatumia zaidi ya lisaa limoja humo ndani, ofcoz me niliudhika sana coz alijua leo tutatoka kwa nini hayo mambo ya saloon hakuyafanya mapema?
Alivyomaliza mambo yake akaja kwenye gari me nikaamua kumuudhi makusudi tu, nikamwambia hiyo make up aliyofanya haijampendeza kabisa, bora awe anabaki na sura yake ya kawaida tu.alikasirika sana baada ya kumuambia hivyo,akaniuliza kama mimi sitomsifia nani mwingine wa kumsifia aliongea mengi sana me nikampuuza tu so tangu Jumamosi Hadi leo kaninunia,hanisemeshi chochote.
Kuna haja ya kumuomba msamaha au nami niendelee kukaza buti wakuu?
pole mkuuUsilolijua ni kwamba kuna uwezekano mkubwa sana mtu mwingine akatunukiwa doggy style!Jifunze kumpenda sana mke wako.Mke akinuna ni majinga matupu.
Nakumbuka kuna siku niliwahi kumuuzi girlfriend wangu ambae tulikuwa tunaishi nyumba moja,usiku huo akawa yupo busy sana na simu(mambo ya kuchat).Kesho yake asubuhi akaniaga kuwa anaenda saloon.Alirudi jioni akiwa anachechemea na siku hiyo usiku hakutaka nimsogelee kabisa!Kumbe kuna mjinga fulani alienda kutunukiwa doggy style!Na huo mjinga wala hakuremba kama mimi ninavyorembaga.
kmmmk walahi🤣🤣🤣 hizi kope au mifagio?