maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
Hii members
Huwa nawaza sana siku ya mwisho Mungu akaamua kutuonesha matukio ya kila mmoja wetu alokua anayafanya akiwa peke ake basi tutaona mambo mengi ya ajabu sana
Maana mimi tu nikikaa peke angu ndani huwa nafanya mambo ya ajabu mno
Acha yale nnayowaza afu siyanyii kazi, adi sometimes huwa najicheka mwenyewe
Natamani kushare na nyie ila mtanishangaa sana
Kwa ambae nae huwa anafanya mambo ya ajabu na ana uwezo wa kushare ashes tu mi ilo siwezi kabisa
Namuomba Mungu iyo siku ya mwisho asijetuonesha matukio hayo
Huwa nawaza sana siku ya mwisho Mungu akaamua kutuonesha matukio ya kila mmoja wetu alokua anayafanya akiwa peke ake basi tutaona mambo mengi ya ajabu sana
Maana mimi tu nikikaa peke angu ndani huwa nafanya mambo ya ajabu mno
Acha yale nnayowaza afu siyanyii kazi, adi sometimes huwa najicheka mwenyewe
Natamani kushare na nyie ila mtanishangaa sana
Kwa ambae nae huwa anafanya mambo ya ajabu na ana uwezo wa kushare ashes tu mi ilo siwezi kabisa
Namuomba Mungu iyo siku ya mwisho asijetuonesha matukio hayo