Siku ya mtoko wa kwanza, mpenzi anakutana na yule uliyeachana naye…!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
street-hollas-401x450.jpg


Inaweza kutokea kama ajali tu, hujawahi kumwambia kuhusu mwanaume uliyeachana naye miezi kadhaa iliyopita baada ya kudumu naye kwa muda mfupi sana katika mapenzi yenu kutokana na kukumbwa na vurugu za mara kwa mara Kwa kifupi huyo mpenzi alikuwa ni mnyanyasaji sana. Hukuwahi kumzungumzia mpenzi wako wa zamani kwa mpenzi mpya kwa sababu hamkuwahi kuzungumzia jambo hilo.

Lakini kibaya zaidi watu hao wanafahamiana na baada ya kukutana kwao katika mghahawa huo mliokwenda wanasalimiana kwa bashasha na kuzungumza kidogo kuhusu biashara zao wanazofanya pamoja……………. Haiishii hapo huyu mpenzi mpya anatumia nafasi hiyo kukutambulisha kwa huyu mpenzi wako wa zamani kwamba wewe ndiye mtarajiwa wake kama mambo yatakwenda vizuri……………

Hebu niambie mwanamke, unakutana na shiranga hili unafanyaje……………………..?
 
Mtambuzi , ulishaambiwa wewe ni bias bado tu hujaacha. Back to the topic, introduction itaendelea kama kawaida lakini nitasitisha maongezi marefu wakati ule ili kila mtu achukue zake. Maelezo marefu nitampa baadae kuwa alikuwa ex, hii ni kuepusha uzushi utakao tokea hapo mbele.

Si unajua kuna wanaume wengine wanatabia za kike, keshakuona umemove on lazima akufanyia vagi!
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi , ulishaambiwa wewe ni bias bado tu hujaacha. Back to the topic, introduction itaendelea kama kawaida lakini nitasitisha maongezi marefu wakati ule ili kila mtu achukue zake. Maelezo marefu nitampa baadae kuwa alikuwa ex, hii ni kuepusha uzushi utakao tokea hapo mbele.

Si unajua kuna wanaume wengine wanatabia za kike, keshakuona umemove on lazima akufanyia vagi!
MadameX nimeshamalizana na mlalamikaji kwa PM, na sasa tunaenda sawa.
:focus:
Umejibu vizuri, lakini kumbuka wanaume wakiachwa huwa inakuwa nongwa, na hudhani kama anaweza kutumia nafasi hiyo kukumaliza kwa kumweleza mpenzi mpya uzushi mwingi...?
Unadhani uhusiano wenu utakuwa salama kweli?
tuseme mpenzi mpya amekuelewa lakini je itakuwaje pale mpenzi wa zamani atakapomtembelea huyo mpenzi mpya nyumbani kwake na kukukuta wewe ndani ya nyumba, utamwandalia soda, chai au kahawa? Kumbuka hamjafunga ndoa mna date tu.
 
Last edited by a moderator:
Patamu hapo..! Kwanza lazima nitaishiwa pozi ghafla.! Kitakachofuata baada ya mazungumzo itabidi nimweleze mpenzi wangu ukweli woote tukiwa wawili..

Ishawahi kunikuta ya namna hiyo.. Yule ex akaniambia nisimwambie mpenzi wangu kwani urafiki wao utaisha, tena aliniomba sanaaa.... I agreed.. Sasa unajua nini kilichotokea?? Yule ex yeye ndio akamwambia mpenzi wangu tena hakumwambia kama nilikuwa ex wake.. Alimweleza kwamba bado tunaendelea..! Mpenzi wangu hakuniuliza chochote, taratiiiibuu akakata kamba, nilikuja kugundua mchezo mzima baadae sana..!
 
MadameX nimeshamalizana na mlalamikaji kwa PM, na sasa tunaenda sawa.
:focus:
Umejibu vizuri, lakini kumbuka wanaume wakiachwa huwa inakuwa nongwa, na hudhani kama anaweza kutumia nafasi hiyo kukumaliza kwa kumweleza mpenzi mpya uzushi mwingi...?
Unadhani uhusiano wenu utakuwa salama kweli?
tuseme mpenzi mpya amekuelewa lakini je itakuwaje pale mpenzi wa zamani atakapomtembelea huyo mpenzi mpya nyumbani kwake na kukukuta wewe ndani ya nyumba, utamwandalia soda, chai au kahawa? Kumbuka hamjafunga ndoa mna date tu.


Kama ulivyosema kuwa hapatakuwa na usalama kwahiyo sidhani kama atakuwa mjinga kumleta nyumbani kwasababu tayari atakuwa inampa shida yeye. Pili, akiwa mwenye akili lazima ajue kuwa huyo bwana ni history kama nina story nae nisingemwambie ukweli.

Ikiwa bado inaleta matatizo inabidi awepe ultimatum, mwanaume lazima awe wa kujiamini sioni kuishi kwa kushukushuku.
 
[MENTION=12373]

Si unajua kuna wanaume wengine wanatabia za kike, keshakuona umemove on lazima akufanyia vagi!

hapa ndipo shida ilipo.. sijui kwa nini watu wengine huwa wanashindwa kukubaliana na ukweli kwamba 'it is over' na kwamba kila mtu anapaswa asonge kivyake..
 
Anko! kama yule wa mwanzo tushamalizana wala sioni haya sababu yeye aliniona si wa mana,sasa huyu nilonae sasa anipendeza kwa mengi tena raha sanaaaaa anione ,akisema wa nini mwenzie anasema ananipata lini....
 
Kama ulivyosema kuwa hapatakuwa na usalama kwahiyo sidhani kama atakuwa mjinga kumleta nyumbani kwasababu tayari atakuwa inampa shida yeye. Pili, akiwa mwenye akili lazima ajue kuwa huyo bwana ni history kama nina story nae nisingemwambie ukweli.

Ikiwa bado inaleta matatizo inabidi awepe ultimatum, mwanaume lazima awe wa kujiamini sioni kuishi kwa kushukushuku.

Kwa hiyo utamchunia kama hivi.......................

arrogant-black-couple-thumb3061560-153x153.jpg
 
Dah Baba yangu hii mitego mwe!! Afu jinsi ilivyo huweziamini jinsi dunia ilivyo ndogo aisee.

Kuna rafiki yangu alijikuta kwenye situation kama hiyo. Boyfriend wake (ambaye walikuwa wanawasiliana tu kwa simu) alikuja Tanzania na wakakutana kwa mara ya kwanza. After some times za kuzoeana yule Boyfriend akawa comfortable na kuanza kumwuintroduce rafiki yangu kwa friends zake. Ndipo siku ya siku likamfika. Boyfriend alimweleza wazi kuwa kuna swahiba wake amerejea toka mikoani anataka aonane naye. Wakaenda, wakati boyfriend anamtafuta kwa simu huyo swahiba si akataja jina la Ex wa mdada! Ex - ambaye hakuwa really ex- wake kwa kuwa hakuwaga nae officially na hawakuachanaga kabisa - alikiri kuwa siku moja moja walikuwa wanakumbushia.

Alichokifanya ni na yeye kumpigia simu swahiba wa boyfriend wake akamwambia...mimi ndo huyo girlfriend unayekujatambulishwa na flani................ hahah jamaa alikuwa mstaarabu akauchuna aisee!

Kwa upande wangu dah.....nlivyo na kiherehere ningemwambia tu ukweli mara tu atakapoondoka huyo mjamaa na kisha nitampa muda wa kuasess the situation na kufanya maamuzi ambayo nitamuhakikishia kuwa sitomlaumu kwayo.
 
Dah Baba yangu hii mitego mwe!! Afu jinsi ilivyo huweziamini jinsi dunia ilivyo ndogo aisee.

Kuna rafiki yangu alijikuta kwenye situation kama hiyo. Boyfriend wake (ambaye walikuwa wanawasiliana tu kwa simu) alikuja Tanzania na wakakutana kwa mara ya kwanza. After some times za kuzoeana yule Boyfriend akawa comfortable na kuanza kumwuintroduce rafiki yangu kwa friends zake. Ndipo siku ya siku likamfika. Boyfriend alimweleza wazi kuwa kuna swahiba wake amerejea toka mikoani anataka aonane naye. Wakaenda, wakati boyfriend anamtafuta kwa simu huyo swahiba si akataja jina la Ex wa mdada! Ex - ambaye hakuwa really ex- wake kwa kuwa hakuwaga nae officially na hawakuachanaga kabisa - alikiri kuwa siku moja moja walikuwa wanakumbushia.

Alichokifanya ni na yeye kumpigia simu swahiba wa boyfriend wake akamwambia...mimi ndo huyo girlfriend unayekujatambulishwa na flani................ hahah jamaa alikuwa mstaarabu akauchuna aisee!

Kwa upande wangu dah.....nlivyo na kiherehere ningemwambia tu ukweli mara tu atakapoondoka huyo mjamaa na kisha nitampa muda wa kuasess the situation na kufanya maamuzi ambayo nitamuhakikishia kuwa sitomlaumu kwayo.

Mwanangu MwanajamiiOne unajua wakati mwingine nakuwa kama naota tu.................
black-man-thinking1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mwanangu MwanajamiiOne Wenzako humu wanasema mimi ni BIAS....................LOL
Kutwa kunisengenya............

african-american-women-talking1.jpg

Baba Yangu......wamesahau kuwa hakuna Expert wa kila kitu? Kila mtu anaspecialize kwenye eneo alipendalo. Wewe umechagua hili so una haki.

unless waseme hata wale Magyno wako bias kwa kuchagua eneo hilo la mwili na wale wa watoto kuchagua watoto tu!.
 
Angalia mlivyo waongo we mtambuzi lini umeni PM,sina maana nahitaji ila nataka kuonyesha na we ni walewale
jeneneke, lakini sikutaja hata jina lako................ Je umejuaje kama nakuzungumzia wewe.................? LOL
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom