Siku ya makamanda Kisutu

Siku ya makamanda Kisutu

Kwa bavicha kufanya kazi kwa bidii ni takataka. Ingekuwa maandamano ungefurahia kwa sababu unajua kabla ya maandamano vijana wa bavicha mnapewaga ile kitu ya kuondoa aibu...
he kitu gan hcho cha kuondoa aibu?
 
"Kinana" weka mbali na tembo....ccm ni wazee wakung'oa wananchi kucha na meno.ndugu wananchi tuiogope ccm ni janga la taifa.ccm no majangili ya tembo yakiongozwa na muhamiaji haramu mwenye uraia fake kinana
 
Weka mbali na kucha...

"Kinana" weka mbali na tembo....ccm ni wazee wakung'oa wananchi kucha na meno.ndugu wananchi tuiogope ccm ni janga la taifa.ccm no majangili ya tembo yakiongozwa na muhamiaji haramu mwenye uraia fake kinana
 
Du yaani makanda wote hawa wanashtakiwa! Lah kweli Chadema inatishia uhai wa Magamba
 
"Kinana" weka mbali na tembo....ccm ni wazee wakung'oa wananchi kucha na meno.ndugu wananchi tuiogope ccm ni janga la taifa.ccm no majangili ya tembo yakiongozwa na muhamiaji haramu mwenye uraia fake kinana

Lazima watanzania wote wazalendo tusimame kukemea ukiukwaji wa sheria na haki za binadamu...!
 
Kwa bavicha kufanya kazi kwa bidii ni takataka. Ingekuwa maandamano ungefurahia kwa sababu unajua kabla ya maandamano vijana wa bavicha mnapewaga ile kitu ya kuondoa aibu...
Wazee wa buku 7 mmeongozewa dau nini? Naona unatambaa na shift ya usiku post hii umetandika saa 5 usiku, na shift ya mchana nilikuona pia
 
Ukijibizana na hawa zemarcopolo utawanyanyua zaidi, tupa kule.

Back to the topic,
niwatakie ushindi makamanda wote wanaoitafuta haki ndani ya taifa hli
 
Kwa bavicha kufanya kazi kwa bidii ni takataka. Ingekuwa maandamano ungefurahia kwa sababu unajua kabla ya maandamano vijana wa bavicha mnapewaga ile kitu ya kuondoa aibu...

Mwenyekiti wa UVCCM alivyokuwa anamtumia barua pepe yule dada waende Znz alikuwa katumia ile kitu kutoa aibu?
 
Hili linatuhusu sote kamanda,si jambo la mtu mmoja mmoja... Leo watamfanyia Lyakatare,kesho kwako!

Kweli Kamanda tupo pamoja sana,natamani sana niwe hapo mkuu ila sipo Jijini kwa sasa ila nawatakia makamanda kila la kheri
 
Hahahahahahaha mkuu hujui ile biashara ya Lema?

leo ni aibu nyingine kwa Ccm na vibaraka wake akiwemo wewe,
Mungu si athani wala Juma,Mungu hapewi rushwa,Mungu ni mtenda miujiza,Mungu ataendelea kuwaumbua wanafiki hapa hapa duniani!!
 
Back
Top Bottom