Nyerere kafariki, hatunaye tena duniani since oct 1999 KWISHA! Kuanza kujadili mara ooh tarehe sio, ooh hakufa bali kauawa, haisaidii ni kupoteza muda bure! wengine watakuja na POROJO hapa et alikuwa freemasonic member! so that the devils wamemchukua hivyo hajafa bado! HUKU NI KUMDHALILISHA KIONGOZI WETU SHUPAVU! TULIKUWA NAE, AKATANGULIA MBELE YA HAKI, TUKALIA NA SASA CHENYE WAJIBU KWETU NI KUYAENDELEZA MAZURI ALIYOTUACHIA!
Ukweli hauwezi funikwa siku zote. Ni kama kuuzuia moshi kwa kawa.
Kama vile kuvuja kwa taarifa za mipango na utekelezaji wa kumwua Nyerere kulivyokuwa, kisha kuibukia 2012 kwa uwazi zaidi. Ndivyo tarehe rasmi ya kufariki inapojulikana.
Nyerere alifariki tarehe 7 Oktoba 1999.
Tarehe nyingine ni danganya toto. Ukweli unasema, huwezi kuwadanganya watu wote kwa nyakati zote. Ndicho serikali iliyoongozwa na B W Mkapa ilichofanya.
Ni kweli. Kwa hiyo sasa ni nini kinachofuata?Kwahiyo sasa???
Inaonekana mtindio wa ubongo umekuathiri sana. You are really a brain dead idiot!Na anatumikia adhabu kwa dhulma na udikteta aliowafanyia watanganyika
it doesnt matter cha muhimu ni kuwa 1999 Mungu alimtwaa mtesaji wa Taifa hili .... Mungu amuweke anapostahili
Matukio tata kabla ya Kifo chake kutangazwa:
Barabara ya kutoka Mgulani JKT na ya uwanja wa taifa hadi keko zilitengenezwa usiku wiki moja kabla kifo chake kutangazwa rasmi. Kigunge alipotoka Uingereza (kabla ya kifo kutangazwa) alikwenda moja kwa moja Butiama.
Mtatoa povu sana mwaka huu ila ukweli ndo huu RIP DIKTETA