Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,855
Ndugu wana jamii,
naomba leo iwe ni siku ya kila mmoja wetu kwa imani yake na kwa mungu anayemuabudu na kumtumikia,
amwambie asante kwa wema na ukuu wote..
Kwa neema, baraka, na miujiza ambayo mungu wake amemfanyia.
Kumbuka fadhila na ukuu wa mungu wako,
kumbuka alivyokuvusha kwenye magumu mbalimbali..
Tumia muda huu mfupi kusema asante mungu wangu.
Nawatakia ijumaa njema na wikendi njema.
naomba leo iwe ni siku ya kila mmoja wetu kwa imani yake na kwa mungu anayemuabudu na kumtumikia,
amwambie asante kwa wema na ukuu wote..
Kwa neema, baraka, na miujiza ambayo mungu wake amemfanyia.
Kumbuka fadhila na ukuu wa mungu wako,
kumbuka alivyokuvusha kwenye magumu mbalimbali..
Tumia muda huu mfupi kusema asante mungu wangu.
Nawatakia ijumaa njema na wikendi njema.