badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,702
Mkuu sijui nini umewaza au umekumbana na nini lakini ukweli ni kwamba NO ONE GET OUT OF THIS WORLD ALIVE. We are all goin to die can’t imagine mwaka mmoja ni siku 365 kama nikiishi miaka kumi ni siku 3,650 tu aisee siku zinaenda sijuagi kwanini watu wanasherekea birthday.