Mkuu sijui nini umewaza au umekumbana na nini lakini ukweli ni kwamba NO ONE GET OUT OF THIS WORLD ALIVE. We are all goin to die can’t imagine mwaka mmoja ni siku 365 kama nikiishi miaka kumi ni siku 3,650 tu aisee siku zinaenda sijuagi kwanini watu wanasherekea birthday.
Hujanijibu hoja hata moja kila nilipokuonyesha unatudanganya.Nimegundua kwamba nabishana na Zero Brain.
kila nikifikiriaga suala la kifo, kuna watu wawili ambao huwa wananiuma sana: Steve Jobs and Jesus Christ. Ingawa sometimes huwa nahoji hoji suala la uwepo wa Mungu, but hekima za huyu jamaa Jesus Christ huwa zinanifikirisha sana. Tunahangaika sana na haya maisha at the end everything becomes worthless at the face of death. Nimejifunza kuchukulia vitu easy na kuvirahisisha siku hizi. Nikipata rizki huwa nashukuru, ugomvi ni big no kwangu. I just want peace. I just want to see another day, another tommorow!Mkuu hapo hata mimi pananiumiza kichwa sana , nimehangaika sana na maisha , kujifunza mambo ,mengi sana , Ila nikifikiria kifo kuwa kweli sioni sababu ya kuzaliwa , naona Kama hustling zote ni bure tu maana naamini nitaachwa majonzii makubwa sana kwa wanonitegemea .
Mimi kimenichukua kifo cha larry king, nikiangalia uwezo na ujuzi wa kuhoji uliokuwa kichwani kwa yule jamaa halafu ndo tunaenda kufukia ardhini kila kitu hakuna hata tunachoweza kuokoa , utaona jinsi tunavyopoteza resources. Yani maisha hayana kabisa thamani mbele ya kifo.
Kifo ni mabadiliko kama ilivyo utoto,ujana alafu utu uzima mwisho uzee. Kwa hiyo kuushinda uzee ni kujiandaa Jinsi ya kukabiliana nao. Kushinda kifo ni kujiandaa kwa ajili ya kifo. Njia sahihi ni meditation, ukifanya vizuri utatambua mabadiliko hayo ni nini cha kutegemea kitatokea. Jaribu utaleta mwenyewe majibu hapa hapa
Kuna post hapa jfm kuhusu meditation. Jaribu kuisoma.Meditation ni nini? Na inafanyikaje
kila nikifikiriaga suala la kifo, kuna watu wawili ambao huwa wananiuma sana: Steve Jobs and Jesus Christ. Ingawa sometimes huwa nahoji hoji suala la uwepo wa Mungu, but hekima za huyu jamaa Jesus Christ huwa zinanifikirisha sana. Tunahangaika sana na haya maisha at the end everything becomes worthless at the face of death. Nimejifunza kuchukulia vitu easy na kuvirahisisha siku hizi. Nikipata rizki huwa nashukuru, ugomvi ni big no kwangu. I just want peace. I just want to see another day, another tommorow!
Meditation ni nini? Na inafanyikaje