Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,929
- 23,366
Yaani siku mkipenyezewa taarifa kuna mhalifu haraka ma tv mshajaza, magazetini nk.
Siku wanahukumiwa mtuonyeshe pia hizo adhabu na somo zaidi ya kutuonyesha pale mnapomkamata mtuhumiwa.
Nilishtuka mkoa mmoja polisi mkubwa anasema wabakaji wanaachiwa ama wanashinda kesi kutokana na mashahidi kugoma kutoa ushahidi.
Sasa wanagoma huyo mbakaji kajileta mwenyewe anyway.
Siku wanahukumiwa mtuonyeshe pia hizo adhabu na somo zaidi ya kutuonyesha pale mnapomkamata mtuhumiwa.
Nilishtuka mkoa mmoja polisi mkubwa anasema wabakaji wanaachiwa ama wanashinda kesi kutokana na mashahidi kugoma kutoa ushahidi.
Sasa wanagoma huyo mbakaji kajileta mwenyewe anyway.