Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya ccm , ni wazi kabisa kwamba wanachama wake wengi hawaridhishi na wanaburuzwa tu kama hawajielewi .
Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa w...atatuunga mkono wakiwa humohumo .
Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .
Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .
Ni suala la muda tu .
Siku zote binadamu hawezi kutendewa ubaya na akakaa tu kama zuzu , ni lazima uvumilivu utamshinda tu , zipo taarifa kwamba mbinu ya sasa si kuhama , bali ni kuhakikisha kwamba fito zinagombaniwa ndani kwa ndani , kwamba wasioridhika na yanayotendwa w...atatuunga mkono wakiwa humohumo .
Tulishasema tangu mapema , KUMPA UENYEKITI MTU AMBAYE HAKUWAHI HATA KUWA MJUMBE WA NYUMBA 10 ACHILIA MBALI KATIBU KATA , ni matatizo makubwa sana .
Sijawahi kuona kiongozi anayempuuza kila mtu akafanikiwa , huyu atakuwa wa kwanza
.
Mabadiliko namba 9 yaliyofanywa juzi Dodoma ndio kitanzi chenyewe .
Ni suala la muda tu .