Siku Nyerere alipotishia kunichapa

Ahmed Rajabu bana na makala zake,ngoja na mimi nijiandae nimuandike yeye
 
Ahmed Rajabu kwako Nyerere naona ni zaidi ya nightmare! !
Huiishi kumpiga vijembe, sasa yeye hayupo hapa kujitetea, tutakuamini vipi kwa hizi makala zako? Kwanini hukusema haya angalipo hai naye akujibu? ?
Nadhani huu si uungwana!
 
Ahmed Rajabu kwako Nyerere naona ni zaidi ya nightmare! !
Huiishi kumpiga vijembe, sasa yeye hayupo hapa kujitetea, tutakuamini vipi kwa hizi makala zako? Kwanini hukusema haya angalipo hai naye akujibu? ?
Nadhani huu si uungwana!

Hi ni historia na mtu kuandika mambo yalio pita hayana ulazima kujibiwa.
Hata uhai alipo kuwa hai jkn hakujibu yote watu walio kuwa wakisema.
Mfano mzee mwinyi aliposema kaachiwa nchi kavu isiyo na akiba ya chochote jkn hakujibu.
Au kama kuna ulazima kila analosemwa jkn lijibiwe basi labda tumuombe msimamizi wa mirathi wa marehem ajibu.
 
Jf ina raha yake.
Ningekuwa sijajiunga humu singekaa nisome hii makala
 

Ahmed Rajabu na Mohamed Said ni mapacha.

Ukizisoma makala zao juu ya,

1.Harakati za ukombozi wa Tanganyika.
2.Mzozo wa Middle East.
3.Mapinduzi ya Zanzibar.
4.Nyerere na uislamu.

Utakubaliana na mimi ni kama madrasa walisoma Chuo kimoja.

Na huwa wakomaa na dark side tu ya Nyerere.

hata sura wanafanana
 
Mojawapo ni ubongo wako kuupa nafasi katika maisha yako, hiyo ndiyo ufanya kazi kubwa kutunza kila aina ya unachofanya na kitokeacho mbele yako kuliko vifaa vya kisasa.
Natamani huyu mwandishi anifunze jinsi ya kutunza rekodi za kila siku,wachache sana wanaweza
 
Mwandishi ana kumbukumbu sana ila kama sio basi anatumia vema Diary yake kuhifadhi kumbukumbu za kale na kuzitengenezea Riwaya/Makala/Hadithi na kadhalika.
 
Nimejifunza kitu ukiwa kiongoz kuna muda unabid uwe dikteka usipofanya hivyo hautaeshimika. ahsante sana.
Kweli. Si unamuona huyu wa sasa. Kucheka cheka tu akidhani atamfurahisha kila mtu matokeo yake urais umeshuka hadhi naye anaonekana dhaifu tu. Eti rais mzima analalamika tena kwenye hotuba kwa taifa lake. Hovyo kabisa!
 
Aisee tena ni afadhali ungechapwa tu kwa sababu hakukuwa na namna. Ni wazi kwamba unamchukia sana Mwalimu. Mi nasema ungechapwa tu kwa kweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom