tansoma
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,209
- 578
Ahmed Rajabu na Mohamed Said ni mapacha.
Ukizisoma makala zao juu ya,
1.Harakati za ukombozi wa Tanganyika.
2.Mzozo wa Middle East.
3.Mapinduzi ya Zanzibar.
4.Nyerere na uislamu.
Utakubaliana na mimi ni kama madrasa walisoma Chuo kimoja.
Na huwa wakomaa na dark side tu ya Nyerere.
Ni kweli mapacha maana wanawapa dozi za kweli na kunyoosha yalle yaliopindishwaaa