Wahenga walisema mkono mtupu haulambwi. Ninaweza kusema hapa duniani watu wanaotuthamini kiukweli ni ndugu, na labda labda mtu alieshika sana dini basi atathaminiwa na wana dini hiyo walioshika dini
Kwingine kote, utaona unathaminiwa sababu una fedha au uwezo, ukikosa hivyo wapo watu watakushit kama takataka, Ila kwa wachache waungwana