Siku nikiwa na kampuni yangu

Siku nikiwa na kampuni yangu

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
748
Reaction score
367
Nina ndoto ya kumiriki kampuni yangu.
Moja ya mawazo namba moja ni kutokuajiri mtu kwa vyeti hata tangazo langu la kuhitaji wafanyakazi litasema kabisa elimu yako sio kipaumbele cha kukupatia Kazi. UZOEFU AU KIPAJI ndio kaulimbiu yetu.
Swali langu ni hili......
Serikali yangu itaruhusu kampuni yangu kuendeshwa hivyo ? Kuna vitengo nyeti nitahitaji wenye elimu ya idara hiyo.
Nawasilisha......
 
Nakutakia ndoto njema uweze "kumiriki" kampuni......

Serikali haina shida mradi uzingatie vigezo na sheria
 
Wewe nawe #zanzibar spices ndio Wa bumbwini kweli kweli au kidoti kama siyo matemwe au makunduchi hahahaha
 
Nina ndoto ya kumiriki kampuni yangu.
Moja ya mawazo namba moja ni kutokuajiri mtu kwa vyeti hata tangazo langu la kuhitaji wafanyakazi litasema kabisa elimu yako sio kipaumbele cha kukupatia Kazi. UZOEFU AU KIPAJI ndio kaulimbiu yetu.
Swali langu ni hili......
Serikali yangu itaruhusu kampuni yangu kuendeshwa hivyo ? Kuna vitengo nyeti nitahitaji wenye elimu ya idara hiyo.
Nawasilisha......

hahahaha..una stress za kukosa kazi.. mkuu, vyeti ni muhimu
 
Tehe tehe kumiriki! We huhitaji wenye vyeti kweli hutawezana nao ndugu mmiriki
 
Hahahaha mkuu sio bwana Mimi ni mtumishi Wa Mungu search Google kwa jina MATENDO ANDREW utagundua kitu mkuu lol #zanzibar spices
 
niamini mimi ukifkia hatua hiyo na ku invest mapesa mengi kwenye hiyo kampuni yako utasahau hata kama uliwahi sema unataka unskilled labour
 
Nchi yako inazalisha 36% tu ya wasomi walio vizuri kufanya Kazi wengine wote walikua wakila bata na u bize instagram.. hvyo hawajui kitu
 
Back
Top Bottom