Mkuu kifo ni fahari kwa anayehitaji furaha daima,tazama ulivyojaa stress na haujui stress zako zitaisha lini,solution ya wewe kuwa na aman ni kifo mkuu,japo ni huzuni kwa unaowaacha
Kifo ni solution ya mwanadamu kurejesha matumaini aliyoyapoteza, mkuu tunaomba waje watupe experience waliyokumbana nayo ya kifo, lakini kisiwe man- made by superstition