Kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyezi Mungu, pia shukrani kwa mama kwa jina king'asti. Nakushukuru mama kwa wema ulionitendea. Kamwe katika maisha yangu sitakusahau. Haunijui wala haunitambui lakini umenifadhili kama mtoto wako. Pia niwashukuru wote mlioshiriki kwa namna moja au nyingine. Mwenyezi mungu awabariki na awajaalie neema ninyi na vizazi vyenu. Vilevile mungu awasameheni nyote mliohisi mimi ni mwongo mungu awasamehe sana.