Tangu nimeamka siku ya leo nimekuwa ni mtu mwenye huzuni tu, sijisikii kuongea na watu wala kufanya shughuli yoyote, matukio yote mabaya yaliyotokea maishani mwangu yanajirudia kichwani na kusababisha nilie tu kila ninachofanya kupoteza mawazo haya hakinisaidii.
Nimejaribu kuangalia movie, kusikiliza music na kutembea tembea lakini bado tu sina raha kabisa wala amani moyoni mwangu.
Hivi kuna kitu chochote kingine ambacho naweza nikafanya kikanisaidia?
Nimejaribu kuangalia movie, kusikiliza music na kutembea tembea lakini bado tu sina raha kabisa wala amani moyoni mwangu.
Hivi kuna kitu chochote kingine ambacho naweza nikafanya kikanisaidia?