Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
Leo ni tarehe 10/10/2010.
Ni siku maalum katika mwaka huu wa 2010 sababu kila kitu kinaishia na kumi, kuanzia tarehe, mwezi na hata mwaka wenyewe. Siku hii haitokuja tena katika mwaka huu.
Nawatakieni kila la heri katika siku na siku zijazo pia. Mungu awape afya njema hadi oktoba 31, 2010.
Ni siku maalum katika mwaka huu wa 2010 sababu kila kitu kinaishia na kumi, kuanzia tarehe, mwezi na hata mwaka wenyewe. Siku hii haitokuja tena katika mwaka huu.
Nawatakieni kila la heri katika siku na siku zijazo pia. Mungu awape afya njema hadi oktoba 31, 2010.