Kwanza kabisa salam Wakuu
Siku kama ya leo 9 September 1990 aliyekua Kiongozi wa Liberia Samuel doe alisulubiwa na kuuawa kikatili ..
Ni moja ya Dikteta ambaye alikua Mkabila, akijificha kwenye mwamvuli wa kupambana na Ufisadi..
Tarehe 12 April 1980 aliua Mawaziri wote wa Serikali ya aliyekua Rais(William), Walipigwa Risasi hadharani kwenye fukwe za Bahari..
Lakini nae Mwisho wake haukua Mzuri baada ya kujikuta kwenye mikono ya prince Johnson.
Nimeona tujadili kutokana na aina ya Viongozi tulionao kwa sasa. Je kwa mfumo tunaoenda nao Tanzania (ndiyo mzee ) kwa kila kitu, hakuna hatari ya kuzalisha kina Doe wapya?
Angalizo : hii mada haina mahusiano na Vyama tujadili bila itikadi.
Mtoa post una akili mbilikimo na fikra mfu.unafkr watu woote ni mbulula km wewe?.acha upoyoyo,huyu rais ndie tulimwomba mungu atupe, na ametoka ametupa kweli.
Mtoa post una akili mbilikimo na fikra mfu.unafkr watu woote ni mbulula km wewe?.acha upoyoyo,huyu rais ndie tulimwomba mungu atupe, na ametoka ametupa kweli.
Mtoa post una akili mbilikimo na fikra mfu.unafkr watu woote ni mbulula km wewe?.acha upoyoyo,huyu rais ndie tulimwomba mungu atupe, na ametoka ametupa kweli.