Siku hizi kale kausingizi hakapo tena

Siku hizi kale kausingizi hakapo tena

Flano

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,842
Reaction score
16,292
Nakumbuka baada ya kubaleghe na kuanza kuchakata mbususu hua kila nikipiga bao napata kausingizi flani kazito sana, yaani utamu wa kale kausingizi hua ni zaidi ya ule utamu wa usingizi wa kawaida, hua ni lazima nitumie dakika 10 mpaka 30 na baada ya kuamka hapo nakua kama vile nime restart upya mfumo mzima wa uzazi.

Yapata miaka minne hivi sasa sikapati tena kale kausingizi baada ya tendo, je hii ni hali ya kawaida kulingana na umri unavyo ongezeka au kuna tatizo la kiafya linalopelekea hii hali?

NB: Sina stress yoyote, sina matatizo ya presha wala sukari.
Nimetokea tu kukamis kale kausingizi.
 
Kwani unakuwa umeenda kulala pale kwenye mbunye...!??

Kijana wa kinondoni nini kimekusibu,, Ujinga umekutoka wewe unataka kuurudia tena...
sio ujinga, kale kausingizi hua kalikua kana restart mfumo mzima wa mwili, yaani ukiamka unakua kama vile umezaliwa upya.
 
Haufikagi mawenzi itakuwa
Hako kausingizi kalikua kanakuja baada ya kufika mshindo, yaani unavyomaliza kumwaga na kenyewe haka hapa.
Raha ya kipiga bao ni pamoja na kupata usingizi mzito sana.
 
Ushaumaliza mwendo
 
Kwani unakuwa umeenda kulala pale kwenye mbunye...!??

Kijana wa kinondoni nini kimekusibu,, Ujinga umekutoka wewe unataka kuurudia tena...
Kwa nini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?
 
Kwahiyo ulikua unapiga Moja Chali mpaka usingizi kabisa na mbususu inakungoja. Sasa kwataarifa yako hiyo ilikua Ni dalili ya upungufu wa nguvu za kiume na saizi sio una upungufu tena ni ukosefu.
Kwa nini wanaume hupata usingizi mzito baada ya tendo la ndoa?
 
Unalala vitani?Utatekwa.
Kwa nini wanaume hupata usingizi mzito baada ya tendo la ndoa?

Utafiti wa jarida la Sayansi ya Mishipa ya Fahamu na Tabia uliochapishwa mwaka 2012 umebaini kuwa, dawa za usingizi hufanya kazi sawa na tendo la ndoa kwa wanaume.

Eneo la mbele la ubongo ‘pre –frontal cortex’, ambalo linahusiana na ufahamu, au umakini wa kiakili, huzima au kufungwa baada ya kumaliza tendo hilo.

Kwa baadhi ya utafiti, wanaume kumaliza tendo la ndoa, ni sawa na kunywa dawa za usingizi za ‘diazepam’ zenye ukubwa wa miligramu mbili.

Pia, vichocheo vinavyotoka baada ya tendo hilo kama ‘melatonin,’ ‘oxytocin’ na ‘vasopresin’, zinamsababisha mwanaume apate usingizi mzito.
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
sio ujinga, kale kausingizi hua kalikua kana restart mfumo mzima wa mwili, yaani ukiamka unakua kama vile umezaliwa upya.

Mkuu hadi kidume unamaliza round ya kwanza,, Mwanamke kama to yeye anakuwa bado kabisa kufika kibo.....halafu unataka ulale kwanza ndio uendelee...

Na standard ya Dunia ni round tatu,,,ndio maana pakiti ya Condom zimewekwa tatu...ile ni kiwango cha dunia.... Ni kosa kubwa sana mwanaume kwenda chini ya hio idadi (3),,, na kuzidi round tatu ni upotevu wa Muda kipuuzi na kujiletea umasikini wa kiwango cha juu sana...

Kabla hujakamilisha hio standard ya dunia,,, usiruhusu hako kausingizi kakupate.....tumiaa Masaa yako mawili vizuri uokoe muda,,, Jali muda
 
Mkuu hadi kidume unamaliza round ya kwanza,, Mwanamke kama to yeye anakuwa bado kabisa kufika kibo.....halafu unataka ulale kwanza ndio uendelee...

Na standard ya Dunia ni round tatu,,,ndio maana pakiti ya Condom zimewekwa tatu...ile ni kiwango cha dunia.... Ni kosa kubwa sana mwanaume kwenda chini ya hio idadi (3),,, na kuzidi round tatu ni upotevu wa Muda kipuuzi na kujiletea umasikini wa kiwango cha juu sana...

Kabla hujakamilisha hio standard ya dunia,,, usiruhusu hako kausingizi kakupate.....tumiaa Masaa yako mawili vizuri uokoe muda,,, Jali muda
Mi bao moja kwisha,sijui nipoje
 
Mkuu hadi kidume unamaliza round ya kwanza,, Mwanamke kama to yeye anakuwa bado kabisa kufika kibo.....halafu unataka ulale kwanza ndio uendelee...

Na standard ya Dunia ni round tatu,,,ndio maana pakiti ya Condom zimewekwa tatu...ile ni kiwango cha dunia.... Ni kosa kubwa sana mwanaume kwenda chini ya hio idadi (3),,, na kuzidi round tatu ni upotevu wa Muda kipuuzi na kujiletea umasikini wa kiwango cha juu sana...

Kabla hujakamilisha hio standard ya dunia,,, usiruhusu hako kausingizi kakupate.....tumiaa Masaa yako mawili vizuri uokoe muda,,, Jali muda
Shida yangu sio kuruhusu, shida yangu nimekatamani hako kausingizi maana muda mrefu sana kamenitupa mkono.
Mimi bao la kwanza hua natumia dakika 30-40.
Kama kwa dakika zote hizo hajakojoa akatafute chupa kubwa la Uhai pure drinking water.
 
Kwa nini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?
Hata wanawake ukiwanyoosha vizuri, ukishachomoa mkuki wanalala kwanza kausingizi fulani.
 
Back
Top Bottom