Siku hiz kupeana pole imekua habari, magufuli umetufikisha huku!!!

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,115
Watanzania kwa muda mrefu tumekua wamoja hata baada ya kuanzishwa vyama vingi. Tulikua tunapingana lakn kwa hoja.baada ya kupingana tukikaa pamoja tunajadili mambo ya kijamii kama wamoja.
Lakn hivi sasa tumepandikizwa chuki isiopimika. Na imejaa kweli kweli mioyon mwa watu . Ukitaka kujua tumefika huko angalia pale tunapopata matatizo tunasemana vipi. Hili si jambo la kufurahia hata kidogo.

tunawashangaa wengine katika nchi jiran kuwa na ukabila tumesahau kwa sasa sisi tumekua na uvyama.Lilianza taratibu kipindi cha Jk lakn kwa kiwango kikubwa lilikua linasimamiwa na viongoz wa chin ndani ya ccm hasa hasa Mwigulu enz hizo akiwa kiongoz ndan ya ccm aligeuka kuwa polisi.lejea kesi za ugaid alizokua anazisimamia na kufikia hatua ya kusema ana ushahidi mbinguni na dunian. Nashukuru kwa siku hiz kapunguza kidogo japo ndio kawa boss wa polisi kuliko zaman.

Siku hizi hii chuki inapandikizwa zaid na rais wetu. Ameibuka na kauli zenye kuleta mtengano katika taifa kias cha waliochini yake kushindwa kushirikiana na wapinzani wao kisiasa. Amewahi kuwakemea watu walioenda kumwona Lema akiwa gerezani na kuwaita ni wasaliti. Kwa sasa wale wote wanaompinga anawaita wasaliti wa Taifa. Anadiriki kusema hao wasaliti hawastahili ku survive. Jamii inayomuunga mkono inajaa chuki dhidi yao maana huwaona kama kweli ni wasaliti.

Je kwa hali hii kuna tumain la amani kwa hapo baadaye?? Ona kisa cha kupigwa Tundu Lissu. Et watu wanaotoa pole kwa mgonjwa imekua habari. Zaman kila mtu alikua na uhuru kufanya lolote na mpinzani wake kisiasa. Viongozi wawili wa ccm kutoa pole kwa Tundu Lissu imekua habar.mmoja wa singida na mwingine wa pwan. Kweli tunaona hili swala ni sawa?? Nyarandu kwenda kumwona Lissu ndio kabisaaaa kazua balaa kwa wenzie. Jaman tunachochea moto muda si mrefu utatuzid na tusiweze kuuzima.

Pls wazee mliopo karibu na rais wetu hebu ongeen naye tunakoenda siko. Muda si mrefu tutaacha hata kuzikana. Hiz kauli za pande mbili kufurahia mtu akipata matatizo si jambo jema. Watu kudiriki kumwombea mtu afe si jambo jepesi ni jambo kubwa mnoo. Kilichobaki ni kuchukua siraha na kuuana sisi kwa sisi. Japo hata sasa wanauwawa upande wa upinzan lakn itarud hata kwa upande wa chama tawala maana kila nafsi inaumia. Msifikiri wapinzani hawana roho wanayo ila hawajasema inatosha tusiombe ifike huko. Nalipenda taifa langu.
 
Viongozi wawili wa CCM kumuona Lissu - Nani kaifanya habari? Ni Magufuli au ni sisis wapinzani?

Kama ni Magufuli tumwambie ajirekebishe. kama ni sisi tuambiane tujirekebishe tuanche kushangilia vitu vya kijinga.
 
Watanzania kwa muda mrefu tumekua wamoja hata baada ya kuanzishwa vyama vingi. Tulikua tunapingana lakn kwa hoja.baada ya kupingana tukikaa pamoja tunajadili mambo ya kijamii kama wamoja.
Lakn hivi sasa tumepandikizwa chuki isiopimika. Na imejaa kweli kweli mioyon mwa watu . Ukitaka kujua tumefika huko angalia pale tunapopata matatizo tunasemana vipi. Hili si jambo la kufurahia hata kidogo.

tunawashangaa wengine katika nchi jiran kuwa na ukabila tumesahau kwa sasa sisi tumekua na uvyama.Lilianza taratibu kipindi cha Jk lakn kwa kiwango kikubwa lilikua linasimamiwa na viongoz wa chin ndani ya ccm hasa hasa Mwigulu enz hizo akiwa kiongoz ndan ya ccm aligeuka kuwa polisi.lejea kesi za ugaid alizokua anazisimamia na kufikia hatua ya kusema ana ushahidi mbinguni na dunian. Nashukuru kwa siku hiz kapunguza kidogo japo ndio kawa boss wa polisi kuliko zaman.

Siku hizi hii chuki inapandikizwa zaid na rais wetu. Ameibuka na kauli zenye kuleta mtengano katika taifa kias cha waliochini yake kushindwa kushirikiana na wapinzani wao kisiasa. Amewahi kuwakemea watu walioenda kumwona Lema akiwa gerezani na kuwaita ni wasaliti. Kwa sasa wale wote wanaompinga anawaita wasaliti wa Taifa. Anadiriki kusema hao wasaliti hawastahili ku survive. Jamii inayomuunga mkono inajaa chuki dhidi yao maana huwaona kama kweli ni wasaliti.

Je kwa hali hii kuna tumain la amani kwa hapo baadaye?? Ona kisa cha kupigwa Tundu Lissu. Et watu wanaotoa pole kwa mgonjwa imekua habari. Zaman kila mtu alikua na uhuru kufanya lolote na mpinzani wake kisiasa. Viongozi wawili wa ccm kutoa pole kwa Tundu Lissu imekua habar.mmoja wa singida na mwingine wa pwan. Kweli tunaona hili swala ni sawa?? Nyarandu kwenda kumwona Lissu ndio kabisaaaa kazua balaa kwa wenzie. Jaman tunachochea moto muda si mrefu utatuzid na tusiweze kuuzima.

Pls wazee mliopo karibu na rais wetu hebu ongeen naye tunakoenda siko. Muda si mrefu tutaacha hata kuzikana. Hiz kauli za pande mbili kufurahia mtu akipata matatizo si jambo jema. Watu kudiriki kumwombea mtu afe si jambo jepesi ni jambo kubwa mnoo. Kilichobaki ni kuchukua siraha na kuuana sisi kwa sisi. Japo hata sasa wanauwawa upande wa upinzan lakn itarud hata kwa upande wa chama tawala maana kila nafsi inaumia. Msifikiri wapinzani hawana roho wanayo ila hawajasema inatosha tusiombe ifike huko. Nalipenda taifa langu.

Umeongea vyema sana,lakini usitegemee credit,maana tumeshaweka kwenye nafsi zetu Chuki,Visasi na Ubaguzi.Vilianza kupandwa toka awamu ya tatu,miaka 20 na Ushee si midogo kupanda mbegu maana kwa miembe ya kisasa ungekuwa unavuna embe,mara ya 20 kama muembe ya kijadi una mwaka wa pili au watatu inategemea muda wa kuzalisha embe hizo.

Pole ndilo Taifa letu hilo.Mstaafu Boss wa Jeshi,Serikali imeweza kumsafirisha,lakini Lissu imeshindikana zikatafutwa sababu nyingi sana ,sasa sijui kama Mstaafu alipelekwa Muhimbili au rufaa ilitolewa toka juu ajuaye ni Mungu aliyewaumba.

Kimoja kikubwa ambacho binadamu tunakisahau ni hiki...........Mbingu haina Rangi,uwezo,Chama wala kabila.............

Kuna maisha baada ya dunia hii ambako hakuna Rushwa wala ufisadi kesi huamuliwa kulingana na matendo yako..

Imeandikwa ...'Ulichomtendea mdogo ndicho ulichonitendea mimi.........'
 
Hahaha hahah haha ha hah aha nacheka kwa DHARAUUUUUUUU
Tanzania ni marufuku kuvaa T shirt zenye maneno PRAY FOR LISSU, ila T shirt zenye kuhamasisha matumizi ya bangi zimeruhusiwa.
Unisopent_B11_M_1_2x-202d3.jpg


product-image_19be5538-1d52-40ad-81f5-abb325871930_1024x1024.jpg
 
Umeongea vyema sana,lakini usitegemee credit,maana tumeshaweka kwenye nafsi zetu Chuki,Visasi na Ubaguzi.Vilianza kupandwa toka awamu ya tatu,miaka 20 na Ushee si midogo kupanda mbegu maana kwa miembe ya kisasa ungekuwa unavuna embe,mara ya 20 kama muembe ya kijadi una mwaka wa pili au watatu inategemea muda wa kuzalisha embe hizo.

Pole ndilo Taifa letu hilo.Mstaafu Boss wa Jeshi,Serikali imeweza kumsafirisha,lakini Lissu imeshindikana zikatafutwa sababu nyingi sana ,sasa sijui kama Mstaafu alipelekwa Muhimbili au rufaa ilitolewa toka juu ajuaye ni Mungu aliyewaumba.

Kimoja kikubwa ambacho binadamu tunakisahau ni hiki...........Mbingu haina Rangi,uwezo,Chama wala kabila.............

Kuna maisha baada ya dunia hii ambako hakuna Rushwa wala ufisadi kesi huamuliwa kulingana na matendo yako..

Imeandikwa ...'Ulichomtendea mdogo ndicho ulichonitendea mimi.........'
...Umeongea vizuri Ndugu...''Kuna maisha baada ya dunia hii ambako hakuna rushwa wala ufisadi..Kesi ya kule huamuliwa na matendo yako...
Ni maneno ya kuyatendea kazi...
Asante sana,
Ndaga Kikolo.
 
...Umeongea vizuri Ndugu...''Kuna maisha baada ya dunia hii ambako hakuna rushwa wala ufisadi..Kesi ya kule huamuliwa na matendo yako...
Ni maneno ya kuyatendea kazi...
Asante sana,
Ndaga Kikolo.

Karibu sana.Sisi sote ni ndugu watoto wa baba mmoja RANGI au Fikra zetu zisitutenganishe!Tutakuja kuyahesabu kama pishi zihesabiwavyo na mchuuzi
 
Back
Top Bottom