Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,946
Aman iwe nanyi wakuu
Nawaza tu siku pale England aje king
Hii haitapendeza kabisa
Watu tushazoea kujiita watoto wa malikia
Hata league huwa tunaita league ya malikia
Hata kingeleza huwa tunakiita cha malikia
Sijui kama tutaweza kujiita watoto wa mfalme
Au kama tutaita league ya mfalme
Tutapata wakati mgumu sana
BOY FROM LONDON
Nawaza tu siku pale England aje king
Hii haitapendeza kabisa
Watu tushazoea kujiita watoto wa malikia
Hata league huwa tunaita league ya malikia
Hata kingeleza huwa tunakiita cha malikia
Sijui kama tutaweza kujiita watoto wa mfalme
Au kama tutaita league ya mfalme
Tutapata wakati mgumu sana
BOY FROM LONDON