Lowasa na Mbowe walishasema, mkishindwa kuitoa ccm mwaka huu hamtaweza kamwe kuitoa! Zitakuwa ndoto tuu. Kwa hiyo makamanda wangu nashangaa mnapoteza muda buree wakati magwiji wa mitazamo ya siasa wameona hayo, nyinyi ni nani kuleta vindoto vyenu uchwara. Chadema na ukawa vimeshazindikwa. Waacheni wabunge walioambulia wale vyao wakati vyama vinaenda kufa
Tunahitaji aidha kuanzisha chama kipya kabisa au kuinua vyama vichanga ambavyo havijainuka labda vitaleta ndoto zinazoeleweka.