Am a star
Senior Member
- Sep 22, 2015
- 167
- 158
Wakuu!!!
kwa kawaida mimi ni mtu wa kuchagua sana mtu wa kua nae kwenye mahusiano...pamoja na hilo chaguo langu la mwisho lilinijeruhi moyo wangu kisawasawa, nikaamua kuweka kando mambo ya mahusiano.
Hali ya kupenda
kujali na
kuvumilia
ikapotea kwangu..
Mara paap nikakutana na mrembo mmoja ambae kwa hakika ameugusa moyo wangu anasifa nyingi kati ya ninazohitaji ni wife material. yuko mwaka wa kwanza chuo siendi kichwa kichwa ninachukua tahadhari nyingi yasijirudie ya mwanzo.
nikatafuta namba yake nikarusha ndoano. akajibu
"Me and you we all know that
it's not a right time to be discussing
about such issue, and i can not promise you anything also its not right before God.
i will appreciate if you understand."
baada ya kuona sms nikafurahi maana nilitegemea jibu kama hilo au karibu na hilo kwa wife material..
tatizo ni ukaribu wangu na yeye si mkubwa sana mbinu za pesa na zawadizawadi hazifui dafu ni kama hapendi hizo
nimemwambia kuna kazi nitamtumia kwa email anisaidie kufanya ukweli ni kua sina kazi yoyote ila nilikosa swaga ameonesha kuchangamka na akanipatia email yake.. hata sasa sijui namtumia kazi gani
nimeishiwa akiri kwa huyu wife to be ila hawa wengine wa duniani huko hua haichukui round .. akizingua chips, mara zawadi ya hereni, mara saa (yumo) ila huyu hizo sio kitu nipeni ujanja nitawapa kadi wakati ukifika JF.
muandiko mbaya sio dhambi
kwa kawaida mimi ni mtu wa kuchagua sana mtu wa kua nae kwenye mahusiano...pamoja na hilo chaguo langu la mwisho lilinijeruhi moyo wangu kisawasawa, nikaamua kuweka kando mambo ya mahusiano.
Hali ya kupenda
kujali na
kuvumilia
ikapotea kwangu..
Mara paap nikakutana na mrembo mmoja ambae kwa hakika ameugusa moyo wangu anasifa nyingi kati ya ninazohitaji ni wife material. yuko mwaka wa kwanza chuo siendi kichwa kichwa ninachukua tahadhari nyingi yasijirudie ya mwanzo.
nikatafuta namba yake nikarusha ndoano. akajibu
"Me and you we all know that
it's not a right time to be discussing
about such issue, and i can not promise you anything also its not right before God.
i will appreciate if you understand."
baada ya kuona sms nikafurahi maana nilitegemea jibu kama hilo au karibu na hilo kwa wife material..
tatizo ni ukaribu wangu na yeye si mkubwa sana mbinu za pesa na zawadizawadi hazifui dafu ni kama hapendi hizo
nimemwambia kuna kazi nitamtumia kwa email anisaidie kufanya ukweli ni kua sina kazi yoyote ila nilikosa swaga ameonesha kuchangamka na akanipatia email yake.. hata sasa sijui namtumia kazi gani
nimeishiwa akiri kwa huyu wife to be ila hawa wengine wa duniani huko hua haichukui round .. akizingua chips, mara zawadi ya hereni, mara saa (yumo) ila huyu hizo sio kitu nipeni ujanja nitawapa kadi wakati ukifika JF.
muandiko mbaya sio dhambi

