masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 864
Wana body nimatumaini yangu nyote mko salama?
Kuna jambo moja la muhimu sana ambalo viongozi wetu hasa wa Tanzania One(ccm) hawaliongelee kabisa nalo ni;
Mnamo tarehe 16/04/2014 Umoja wa katiba ya wananchi walitoka bungeni na tarehe 25/04/2014 yani siku 9 tu baada ya ukawa kutoka njebya bunge la katiba ccm walibadilisha kanuni za bunge la katiba ili kuhalalisha uvunjaji wa moyo wa katiba ambao ni serikali 3
Kanuni moja wapo mpya iliyoingizwa baada ya ukawa kutoka ndani ya bunge la katiba ni kanuni ya 32,6
Kifungu hiki Kinasema hivi: "bila yakuadhiri utaratibu wa majadiliano ya sura ya kwanza naya sita,mjumbe yoyote au kundi lolote la wajumbe lilotajwa chini ya kufungu cha 22,1 cha sheria ya mabadiliko ya katiba linaweza kupendekeza sura mpya kwenye rasimu ya katiba"
Ndugu zangu hiki kifungu ni kipya na sasa ccm wanauwezo wa kuondoa sura ya 6 inayohusu muundo wa muungano wa serikali 3 na kuweka wa serikali 2 na haya yote yamefanyika kimya kimya na bila ukawa kuwepo ndani,sasa nia ya dhati ya hawa jamaa iko wapi?
Na kama wanawataka Ukawa warejee bungeni wakajadili nini? Wakati UTI au MOYO wa katiba hauna uhai tena
Wanawataka ukawa wakabariki hayo mabadiliko ya kanuni ya 32,6?
Tukiwa tunafakali uchakachuaji wa kanuni hizi pia leo tujitahidi kuweka macho na masikio yetu katika luninga yetu ya ITV ambapo kutakuwa na mjadala mkali utakaowashirikisha wajumbe wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba chini ya gwiji wa sheria na mwanasiasa wa enzi na enzi, jaji sinde warioba ili tujifunze mengi zaidi kuhusiana na mchakato huu mkubwa na muhimu kwa Taifa letu
Kuna jambo moja la muhimu sana ambalo viongozi wetu hasa wa Tanzania One(ccm) hawaliongelee kabisa nalo ni;
Mnamo tarehe 16/04/2014 Umoja wa katiba ya wananchi walitoka bungeni na tarehe 25/04/2014 yani siku 9 tu baada ya ukawa kutoka njebya bunge la katiba ccm walibadilisha kanuni za bunge la katiba ili kuhalalisha uvunjaji wa moyo wa katiba ambao ni serikali 3
Kanuni moja wapo mpya iliyoingizwa baada ya ukawa kutoka ndani ya bunge la katiba ni kanuni ya 32,6
Kifungu hiki Kinasema hivi: "bila yakuadhiri utaratibu wa majadiliano ya sura ya kwanza naya sita,mjumbe yoyote au kundi lolote la wajumbe lilotajwa chini ya kufungu cha 22,1 cha sheria ya mabadiliko ya katiba linaweza kupendekeza sura mpya kwenye rasimu ya katiba"
Ndugu zangu hiki kifungu ni kipya na sasa ccm wanauwezo wa kuondoa sura ya 6 inayohusu muundo wa muungano wa serikali 3 na kuweka wa serikali 2 na haya yote yamefanyika kimya kimya na bila ukawa kuwepo ndani,sasa nia ya dhati ya hawa jamaa iko wapi?
Na kama wanawataka Ukawa warejee bungeni wakajadili nini? Wakati UTI au MOYO wa katiba hauna uhai tena
Wanawataka ukawa wakabariki hayo mabadiliko ya kanuni ya 32,6?
Tukiwa tunafakali uchakachuaji wa kanuni hizi pia leo tujitahidi kuweka macho na masikio yetu katika luninga yetu ya ITV ambapo kutakuwa na mjadala mkali utakaowashirikisha wajumbe wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba chini ya gwiji wa sheria na mwanasiasa wa enzi na enzi, jaji sinde warioba ili tujifunze mengi zaidi kuhusiana na mchakato huu mkubwa na muhimu kwa Taifa letu