MBUNGE EMMANUEL CHEREHANI SIKU 645 BUNGENI NA MABADILIKO MAKUBWA JIMBO LA USHETU
"Tulipata Shilingi Milioni 470 kwaajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Elias Kwandikwa" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu
"Tulipata Shilingi Bilioni 2.08 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za Sekondari Jimbo la Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu
"Tulipata Shilingi Bilioni 3.5 kwaajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu
"Tulipata Shilingi Milioni 550 kwaajili ya ujenzi wa maboma ya Zahanati Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu
"Tulipata Shilingi Bilioni 2.2 kwaajili ya ujenzi wa Jengo la Utawala Ushetu" - Mhe. Emmanuel Cherehani, Mbunge wa Jimbo la Ushetu.
View attachment 2708648View attachment 2708649View attachment 2708650View attachment 2708652View attachment 2708653