BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Na bado wamemtimua, watafukuza sana makocha wazuri, nasredine heri yake aliondoka mapema.
Ribertinho alikuwa na ubovu gani? Si alifungwa mechi 1 tu na Yanga akatimuliwa? Tena simba yenywe ilikuwa imechoka sana..nawashangaa makolo kudandia mambo ya wa kubwa ilihali kwenu kuna madudu kibao. Hivi mechi ya juzi ya simba Queens mliona timu ilivyoingia uwanjani?Na bado wamemtimua, watafukuza sana makocha wazuri, nasredine heri yake aliondoka mapema.
Alikofukuzwa hajashinda mechi hata moja🤣🤣Simba anaenda kufa game 5 maana yanga anachokitaka ni ubingwa wa 4 huenda na 5
Kumleta huyu kocha ni karata muhimu hasa kwa yeyote aliyeiona galaxy msimu uliopita jamaa ana mbinu sana
Hapa kelele zitakuwa nyingi sana ila as yanga afrika we are on a our way up
Mimi ni yanga, ila wanakosea sana kutimua makocha wazuri, shida hawana uvumilivu, na kama wanabadilisha makocha kwa lengo la kuchukua vikombe vya kimataifa basi watafukuza sana, hata tuletewe guardiola au skaloni watafukuzwa tuRibertinho alikuwa na ubovu gani? Si alifungwa mechi 1 tu na Yanga akatimuliwa? Tena simba yenywe ilikuwa imechoka sana..nawashangaa makolo kudandia mambo ya wa kubwa ilihali kwenu kuna madudu kibao. Hivi mechi ya juzi ya simba Queens mliona timu ilivyoingia uwanjani?