Zapa RadioFm Senior Member Joined Feb 12, 2016 Posts 112 Reaction score 171 Feb 13, 2016 Thread starter #81 kiwa khalid said: Kalia hayo hayo wenzako wako madarakani.unaona hawajaimarika Click to expand... Wewe umenufaika na kushtukizwa?
kiwa khalid said: Kalia hayo hayo wenzako wako madarakani.unaona hawajaimarika Click to expand... Wewe umenufaika na kushtukizwa?
X xenaxena JF-Expert Member Joined May 20, 2014 Posts 2,235 Reaction score 586 Feb 13, 2016 #82 Lizaboni said: Wapinzani wamepoteza luu ya demokrasia ndani ya utawala wa JK. Kwa Pombe hakika wataufyata Click to expand... Ni ngumu kutofautisha mapacha hasa wanaofanana toka tumbo moja la uzazi
Lizaboni said: Wapinzani wamepoteza luu ya demokrasia ndani ya utawala wa JK. Kwa Pombe hakika wataufyata Click to expand... Ni ngumu kutofautisha mapacha hasa wanaofanana toka tumbo moja la uzazi
X xenaxena JF-Expert Member Joined May 20, 2014 Posts 2,235 Reaction score 586 Feb 13, 2016 #83 MsemajiUkweli said: Lowassa is finished. Hata usanii wake kwa sasa ameshindwa kuuza kwa wananchi wengi pamoja na kubebwa na vyombo vingi vya habari nchini. Click to expand... Tuliambiwa Tume iliundwa na waganga wa kienyeji, wakulima, makundi ya walemavu, wanafunzi na viongozi wa dini Hats hivyo Mzee kingunge, Tulia,yule binti wa znz, na mkulima na yule shekhe kama nao haukuwa usanii
MsemajiUkweli said: Lowassa is finished. Hata usanii wake kwa sasa ameshindwa kuuza kwa wananchi wengi pamoja na kubebwa na vyombo vingi vya habari nchini. Click to expand... Tuliambiwa Tume iliundwa na waganga wa kienyeji, wakulima, makundi ya walemavu, wanafunzi na viongozi wa dini Hats hivyo Mzee kingunge, Tulia,yule binti wa znz, na mkulima na yule shekhe kama nao haukuwa usanii
K kiwa khalid JF-Expert Member Joined Apr 14, 2015 Posts 636 Reaction score 534 Feb 13, 2016 #84 Kumbe uko mpuuzi kiasi hiki
M MikeSpec Member Joined Feb 8, 2016 Posts 94 Reaction score 8 Feb 13, 2016 #85 Zapa RadioFm said: Hayo yapo kwenye nipashe Click to expand... kweli? http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
Zapa RadioFm said: Hayo yapo kwenye nipashe Click to expand... kweli? http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
A Alfan issa JF-Expert Member Joined Dec 26, 2015 Posts 2,291 Reaction score 900 Feb 13, 2016 #86 Chadema imezidi kukosa dira
mkwatis JF-Expert Member Joined Nov 2, 2008 Posts 350 Reaction score 171 Feb 13, 2016 #87 kiwa khalid said: Cdm kuwaamini unatakiwa uwe na akiri ya kushikiwa. Imeimaritka wapi cdm? Hatumssikii mwenyekiti wala katbu chama ameachiwa lowasa Click to expand... Chama ni Taasisi si katibu wala mwenyekiti tu,acha kuwa na mawazo mgando
kiwa khalid said: Cdm kuwaamini unatakiwa uwe na akiri ya kushikiwa. Imeimaritka wapi cdm? Hatumssikii mwenyekiti wala katbu chama ameachiwa lowasa Click to expand... Chama ni Taasisi si katibu wala mwenyekiti tu,acha kuwa na mawazo mgando
Mwanahabari Huru JF-Expert Member Joined Mar 9, 2015 Posts 14,242 Reaction score 34,917 Feb 13, 2016 #88 Ccm nijanga
Zapa RadioFm Senior Member Joined Feb 12, 2016 Posts 112 Reaction score 171 Feb 13, 2016 Thread starter #89 Mwanahabari Huru said: Ccm nijanga Click to expand... Siyo janga tuu nimtambo kabisa