DENLSON
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 944
- 1,253
- Thread starter
- #81
Kama JPM alikuwa mtumishi wa Mungu aliyehai kama Nebukadreza anashindwaje Mama Samia kuwa mtumishi wa Mungu?Mtumishi wangu Nebukardezari, huyu alikuwa ni Mfalme wa Babeli. Na bado Mungu alimwita mtumishi wake sembuse JPM.
Mungu hana double standard ndio maana Israeli alipokosea alichapwa kama wengine.
Mungu ai mwanadamu hata aseme uongo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app