KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Wewe ni kipi kinatesa nafsi yako, maana inaonekana unateseka sana, kiasi cha kudhani wengine nao wanateseka kama wewe.Umebaki na vinyongo vinavyotesa nafsi yako.
Wewe ni kipi kinatesa nafsi yako, maana inaonekana unateseka sana, kiasi cha kudhani wengine nao wanateseka kama wewe.Umebaki na vinyongo vinavyotesa nafsi yako.
Kilio cha wakulima wa Tanzania ni soko, pembejeo na bei. Msimu ujao wa kilimo sera ya awamu ya sita itakuwa wazi kwa wakulima. Na ameanza kwa kurudisha bodi ya korosho.
Tofauti na awamu iliyopita ambapo bei za mazao zilishuka na wakulima kupata hasara ikiwa pamoja na kudhulumiwa hela za korosho.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mashaka kwani kuna mtu kapigwa risasi tena? Au kuna mtu katekwa?Mama na muombea kwa Mungu wa Mbinguni ikiwa dhamira yake ni njema atatoboa ila matendo yake baadhi haya akisi hivyo na niya kutiliwa mashaka.
Sina uzoefu na misamiati ya huko unakoleweya kinywaji chako, kwa hiyo sijui ni kipi unakiongelea hapo kuhusu hizo 'simgii'.Nikiacha atanyanyua mawe (Si maneno yangu haya ni Neno la Mungu). Na mawe yaweza ikawa chochote kile hata simgii.
Nkataba.Mashaka kwani kuna mtu kapigwa risasi tena? Au kuna mtu katekwa?
Niletee andiko hapa linalokataza chanjo.Nawashanga viongozi wanaojiita eti wa Wakristo. Angalau Gwajima kalisemea la chanjo. Wamekaa kimya wasiseme chechote, wameridhishwa na kauli ya ujanja ujanja wa chanjo ni hiari basi.
Watanzania wangapi wanajua madhara yanayo ambatana na hii chanjo na ni nani wa kuwasemea? Si serikali, si taasisi za dini zimechukua jukumu la kuelimisha hilo. Wamekaa kimya wakiangalia biashara hii ya shetani na mawakala wake ikipigiwa chapuo na tulio wamini watuongoze.
Mimi na jua na kwa uhakika Wakristo hata viongozi wa kikaa kimya Mungu wa Mbinguni hata acha kufanya kitu. Maadamu miili yetu ni Hekalu la Roho Mtakatifu ili mradi umebatizwa na kumpokea Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako, hakuna wa kuichezea. Mungu wa Mbinguni hata kaa kimya kamwe, atafanya jambo tu. Mamilioni ya Watanzania wasiojielewa kuhusu chanjo hawataachwa wafanywe soko HURIA la biashara hii ya mawakala wakuu wa lusifa.
Ya Bomba dear, drimu laina na liea basi ipo wapi na iliidhinishwa na nani?Nkataba.
Unasoma Biblia? Unajua maana ya Taifa la Israeli katika Ukristo?Umeharibu hoja, Israeli walimkataa Yesu Kristo na kumsulubisha. Kumbuka sijasemea lolote kuhusu Mecca. Hivyo wao Isiraeli, kimsingi ndio vinara wa huu mkakati wa shetani kusilimisha dunia yote kwa chanjo.
Sina uzoefu na misamiati ya huko unakoleweya kinywaji chako, kwa hiyo sijui ni kipi unakiongelea hapo kuhusu hizo 'simgii'.
Unasoma Biblia? Unajua maana ya Taifa la Israeli katika Ukristo?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Naamini atajifunza ndani ya miaka 5 hii atarekebisha makosa mengi sababu anayo DHAMIRA ya kweli.Ndio lakini anakosea kwenye kuteua ma DC.
Mara hii ushasahau jinsi gani Corona ilivyomchukuwa rafiki yako wa Chato?Mawe huko kwenu hayako. Tukinyamaza Mungu wa Mbinguni atanyanyua mawe ya ulize nani anataka kuchezea watu wsngu wa Taifa hili la Tanzania walio utangazia ulimwengu na ukawasukia kwamba wao wameamua kunitegemea?
Mama amejitahidi kuvaa sura ya kiongozi , ila anahitaji waziri mkuu mkorofi kidogo kwa ajili ya usimamizi, binadamu wanajisahau sana
Niambie kiongozi gani Tanzania hii aliyemtaja Mungu wa kweli kwenye makongamano yake.Labda maisha ya uganga na ulozi maana Mungu wa Mbinguni anatwajwa kwa uchache na kwa geresha kwenye makongamano yake.
3 Yohana 1:2 inapingana na maneno yako. Kama hakuna raha hapa duniani basi Yesu atakuwa amekufa bure pale msalabani kitu ambacho sio kweli. Alifanyika laana ili mimi na wewe tuheshimiwe tuishi matajiri.Achana na hii hipocritical judgement, Yesu alikemea. Judge thou not. Limbukeni wewe hamna maisha ya raha hapa duniani unless wewe ni washetani na mtazamo wako ni wamrengo huo. Maneno ya Mungu yanasema Duniani mmejawa na dhiki. Hata wacheza rumba majukwani wakiwa nusu uchi wanayo barua hiyo.
Daudi Mfalme pamoja na yote na Mungu kusema mikono yako imejaa damu za watu bado Bwana Yesu Kristo ni wa mzao wa Daudi.
Daudi alitubu alipoambiwa amekosea baba yako alitaka kumuangamiza askofu kakobe alipomwabia atubu.Achana na hii hipocritical judgement, Yesu alikemea. Judge thou not. Limbukeni wewe hamna maisha ya raha hapa duniani unless wewe ni washetani na mtazamo wako ni wamrengo huo. Maneno ya Mungu yanasema Duniani mmejawa na dhiki. Hata wacheza rumba majukwani wakiwa nusu uchi wanayo barua hiyo.
Daudi Mfalme pamoja na yote na Mungu kusema mikono yako imejaa damu za watu bado Bwana Yesu Kristo ni wa mzao wa Daudi.
Niambie kiongozi gani Tanzania hii aliyemtaja Mungu wa kweli kwenye makongamano yake.
Usidhudhuke na mtu kutaja jina "Mungu" hata Shetani anaitwa mungu wa dunia hii soma 2 Kor 4:4, kwa sababu neno mungu ni cheo ndio maana Mungu ninayemwabudu katika Kristo Yesu ana majina. Nitakutajia majina yake kama utahitaji
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
3 Yohana 1:2 inapingana na maneno yako. Kama hakuna raha hapa duniani basi Yesu atakuwa amekufa bure pale msalabani kitu ambacho sio kweli. Alifanyika laana ili mimi na wewe tuheshimiwe tuishi matajiri.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Daudi alitubu alipoambiwa amekosea baba yako alitaka kumuangamiza askofu kakobe alipomwabia atubu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app