Sikio linapiga kelele

MONA WA KYEN

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
340
271
Habari za muda huu wana jukwaa, samahani nina tatizo naombeni mnisaidie zimepita siku kama nne hivi nilisikia masikio yangu yanawasha sana nikaamua kuchukua pamba na kusafisha. nilipomaliza kuyasafisha sikio moja la kulia lilianza kupiga sana kelele linapiga kelele mpaka uwezo wa kusikia umepungua hebu niambieni tatizo ni nini?

2. nikipokea simu nikiweka kwenye sikio lolote baada ya muda nikiwa naongea masikio yanaanza kuuma hebu nisaidieni tatizo ni nini?
ahsanteni naamini nitapata msaada kwenu.
nina miaka 25.
 
Njoo nikuzabe kofi moja na sikio lako litakaa sawa... Inaonekana pressure ya kwenye ngoma imepungua... Kama vipi, jaribu kubana pua na mdomo alafu jaza upepo mdomoni hewa itatokea masikioni na pressure ya kwenye ngoma itanormalize. Otherwise waone madaktari wa sikio wakupe msaada. Ndio maana kuna hospitali...
 
Njoo nikuzabe kofi moja na sikio lako litakaa sawa... Inaonekana pressure ya kwenye ngoma imepungua... Kama vipi, jaribu kubana pua na mdomo alafu jaza upepo mdomoni hewa itatokea masikioni na pressure ya kwenye ngoma itanormalize. Otherwise waone madaktari wa sikio wakupe msaada. Ndio maana kuna hospitali...
asante ntajaribu kufanya hivyo mkuu
 
Habari za muda huu wana jukwaa, samahani nina tatizo naombeni mnisaidie zimepita siku kama nne hivi nilisikia masikio yangu yanawasha sana nikaamua kuchukua pamba na kusafisha. nilipomaliza kuyasafisha sikio moja la kulia lilianza kupiga sana kelele linapiga kelele mpaka uwezo wa kusikia umepungua hebu niambieni tatizo ni nini?

2. nikipokea simu nikiweka kwenye sikio lolote baada ya muda nikiwa naongea masikio yanaanza kuuma hebu nisaidieni tatizo ni nini?
ahsanteni naamini nitapata msaada kwenu.
nina miaka 25.
Mkuu Tiba ya sikio kupiga makelel ninaijuw anitafute nipate kukutibia.

Ukiwa na Shida yoyote ile

Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu

Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom