Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,739
Hotuba ya Kagasheki inataja mambo mengi ambayo sijui kama yatatekelezwa!!!! Ngoja amalize......matamasha kibao yametajwa. Hapo akina Diamond wameula
Asante kwa Link mzazi,kitu kiko safi kama nawatch live japo wamekata umeme toka jana na sehemu zingine wamekatwa leo asbh cjui sababu ya nvua ama kuzibiti kinachoendelea bungeni?
Mnasikia vizuri
Bungeni live
Mkuu, kwa simu naweza pata hii makitu??
Nin ngumu kaka lakini inategemea ni simu gani....Nokia Lumia au Samusang..........unanielewa????Mutabanzibwa......au na mie najibu Manyiiiiiiiiiiii.......kwa kifipa Sijui