Huo mwenge kila mwaka unachangiwa, kumbe kupalilia matumbo ya CCM na mafisadi wao. TBC hawajajua historia itawasulubu, kila mtu anaona. Tuna uchungu, kodi zetu hizo zinaangamizwa kulipia TBC na Mwenge kumbe wanasaliti taifa kwa maslahi ya Ufidhuli wa kikundi hicho CCM. Watanzania wachukue hatua, hakuna kuangalia TBC, halafu hakuna kutaza kampeni zisizo na dira za CCM. Wabaki na TBC na wawapigie kampeni, wakumbuke Rwanda watawala walivyoponza vyombo vya habari ktk ugomvi wa kimbari! Butiku, Ulimwengu, Azaveli, na wakali wengine, nchi inawategemea. Wapeni raia mustakabali wa ufidhuli huu. HUU NI WIZI, UTAWATOKEA TU PUANI, TUMUOMBW MUNGU ASHUSHE ULIMI WA MOTO KWA HAWA WANAKULA JASHO LA WATANZANIA MASKINI, WAMAMA NA WATOTO WANAOHANGAIKA KILA KUKICHA BILA HUDUMA....WAANGAMIE KAMA KULE SODOMA NA GOMORA, maana utabiri wa Majini wanaoutegemea umeshaonyesha kuwa njia yao ni ile njia pana ielekeayo kuzimu...kwa wafu wa kifikwa na ki-dira. Tunawazika baada ya Oct 31 Slaa atakapowanyesha nchi inaendeshwa namna gani. Ole wao, watakimbiana...