Sijui waliishia wapi hawa

Sijui waliishia wapi hawa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,932
1406606844587.jpg
 
...hawakuchukua raundi huyo mdudu akawadaka,movi imeshatoka tayari teh teh...
 
Teh,teh,teh yaani hawa jamaa,yaani dish,na kamera ni bora kuliko maisha???kwa nini wasitupe hivyo vifaa na kuokoa maisha na wakipata msaada wa jamii walioko wavirudie??kazi kweli kweli.
 
laiti wangekuwa na ushirikiano, huyo mnyama angewakimbia badala ya wao kumkimbia.
 
Hawa jamaa waoga sana, ingekua huku kwetu tunawacharaza fimbo hadharani
 
Back
Top Bottom