kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Sijajua viongozi wa yanga wametumia vigezo gani kumchukuwa huyu kocha kiukweli
Ila any way acha tuone kwanza kwa watu ambao wanafatilia mpira Watakubaliana na mimi kwa jinsi yanga inavyo cheza kwa sasa wanahitaji kocha Mwenye nguvu ya kushambulia mda wote si ugenini wala nyumbani wangu mimi yule kocha wa asec mimosa angefaa zaidi kuchukuwa mikoba ya namba kuliko huyu kwa aina yake ya kuchezesha haina tofauti na ya nabi
Ila huyu Kama alishindwa kuchukuwa bingwa na wydad ambao walikuwa na timu nzuri mwaka wa nyuma hapo akashindwa kuchukuwa ubingwa na mamelodi ambao Wana timu nzuri
Akashindwa kuchukuwa ubingwa akiwa na espérance de Tunis
Amechukuwa ubingwa na mamelodi tena ameanza katikati ya Msimu
Sijui wametumia vigezo vipi kumchukuwa huyu
Ila any way acha tuone kwanza kwa watu ambao wanafatilia mpira Watakubaliana na mimi kwa jinsi yanga inavyo cheza kwa sasa wanahitaji kocha Mwenye nguvu ya kushambulia mda wote si ugenini wala nyumbani wangu mimi yule kocha wa asec mimosa angefaa zaidi kuchukuwa mikoba ya namba kuliko huyu kwa aina yake ya kuchezesha haina tofauti na ya nabi
Ila huyu Kama alishindwa kuchukuwa bingwa na wydad ambao walikuwa na timu nzuri mwaka wa nyuma hapo akashindwa kuchukuwa ubingwa na mamelodi ambao Wana timu nzuri
Akashindwa kuchukuwa ubingwa akiwa na espérance de Tunis
Amechukuwa ubingwa na mamelodi tena ameanza katikati ya Msimu
Sijui wametumia vigezo vipi kumchukuwa huyu