father superior
Member
- Dec 13, 2015
- 21
- 2
Habari zenu wanajamii forum wenzangu.
Natumaini amjambo na hizi siku kuu zinawaendea vyema. Kwa upande wangu siku kuu zimekaa vibaya mno.
Nilileta mada ya kuachwa na mpenzi ambaye bado anaendelea kuwa pamoja nami kwa kila hali.
Shida yangu ni kwamba, nimemuomba sana msamaha huyu bwana.
Nikiomba msamaha kwa njia ya simu anakua mkali sana tofauti na kuomba msamaha nikiwa ninamtazama.
Hapo kidogo anapunguza ukali na ninaona uelekeo wa kusamehewa.
Shida sasa ni kwamba, anapokuwa busy na kazi zake, sioni dalili hata ya kukumbukwa japo kwa message hata moja.
Nimeona bora nimuache kwanza mpaka siku kuu za mwaka mpya zitakapoanza ndipo niongee nae kiutu uzima kwani atakua ametulia na atakuwa tayari kunisikiliza.
Wanajamii forum, sio kwamba mimi ni king'ang'anizi kama wengine walivyosema, mimi ninampenda kweli huyu mtu kwa hali yoyote ambayo anayo.
Naona si busara kuacha penzi langu la kweli, nimeamua kupigania penzi langu.
Naombeni mnishauri, njia ipi nitaweza kuitumia ili nipate msamaha kutoka kwa mpenzi wangu?
Wanaume uwa mnapenda kufanyiwa nini ili mtoe msamaha?
Natumaini amjambo na hizi siku kuu zinawaendea vyema. Kwa upande wangu siku kuu zimekaa vibaya mno.
Nilileta mada ya kuachwa na mpenzi ambaye bado anaendelea kuwa pamoja nami kwa kila hali.
Shida yangu ni kwamba, nimemuomba sana msamaha huyu bwana.
Nikiomba msamaha kwa njia ya simu anakua mkali sana tofauti na kuomba msamaha nikiwa ninamtazama.
Hapo kidogo anapunguza ukali na ninaona uelekeo wa kusamehewa.
Shida sasa ni kwamba, anapokuwa busy na kazi zake, sioni dalili hata ya kukumbukwa japo kwa message hata moja.
Nimeona bora nimuache kwanza mpaka siku kuu za mwaka mpya zitakapoanza ndipo niongee nae kiutu uzima kwani atakua ametulia na atakuwa tayari kunisikiliza.
Wanajamii forum, sio kwamba mimi ni king'ang'anizi kama wengine walivyosema, mimi ninampenda kweli huyu mtu kwa hali yoyote ambayo anayo.
Naona si busara kuacha penzi langu la kweli, nimeamua kupigania penzi langu.
Naombeni mnishauri, njia ipi nitaweza kuitumia ili nipate msamaha kutoka kwa mpenzi wangu?
Wanaume uwa mnapenda kufanyiwa nini ili mtoe msamaha?
Last edited by a moderator: