Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Usisahau kuwa si wapya.. unless otherwise hayo uliyoyasema yawe yameanza sasa wakati anaandika uzi huu1. Haunuki mdomo/pumzi???
2. Wengine ili walale kwa starehe sana mikao yao sio lazima mtazamane
3 we we msafi?au unanuka kama beberu....au hauogi unanata kama umepaka gundi????
Sent using Jamii Forums mobile app
