Sijui nimekosea wapi

Sijui nimekosea wapi

Ni miezi minne sasa wife kitandani tunapishana sana. Yaani hataki tulale kwa kutazamana. Ukimwomba mtazamane mkali Kama mbogo! Najaribu kumuliza Kama nimemkosea, hajibu. Hii hali mpaka inapelekea niwaze kuchepuka! Sijui nimekosea wapi!au ameanza kuchepuka ko hana hisia na mimi!?!?

Kweli ndoa ngumu 😂😂😂😂

Asa mlale kwa kutazamana ili iweje asee?
 
Nashukuru kwa mawazo. Kwanza wife pua haifanyikazi. Hata ungejamba no shida.miaka yote tumelala kwa kutizamana. Hii imekuja ghafla ndo maana inanipa shida
Sielewi hii kulala kwa kutazamana ili iweje! Au ndiyo furaha yako?
 
Pole mkuu.. Km inafikia mpaka miezi 4 mkeo hakupi chezo basi issue iko serious sana. Ila tiba ya tatizo lako ni mazungumzo ya kina baina yenu nawe kama una hakika hakuna mahala ulipo mkosea inabidi uanze uchunguzi mdogo uone wapi kuna tatizo.
 
Back
Top Bottom